SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Serikali dhalimu ya CCM inatumia mamia ya mabilioni kununua vifaa vya kuumiza wapinzani lakini haiwazi kununua vifaa vya kuokoa maisha ya binadamu.Ile nguvu iliyotumika kuzima maandamano ya upinzani ndio itumike hapo kuokoa hao ndugu zetu.