Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
True hicho ndicho chanzo Mimi nimewaza Kama wewe...Jamaa kanunua ghorofa mbili, kmiwemo hii iliyoanguka.
Alikuwa ana connect hizi ghorofa mbili, tatizo wamechokonoa msingi, ndio hili limetokea
Sijaongelea uokoaji hapo nimesema gari ya zimamoto soma vizuri uelewe tulichokuwa tunakiongeleaKwani ukiambiwa waokoaji kinachokujia akilini ni gari la zimamoto!!?
KUtokana na aina ya ajali iliotokea waokoaji waje na vifaa vya kufukulia kifusi kama backhoe, excuvator nk.
Acha bangi... kijana.Wabongo sasaaaa
Kilamtu na kisimu chake anachukua video yan dah tumekuwa wajinga wa kupitiliza mahala pa msaada vieo tuu.
Aibu sana
Huu ni uzembe,sio kipindi cha uchaguzi!Jamani pole yao sana hapo kuna watanzania wenzetu tumewapoteza kuna watu biashara zao zimekwenda na maji. Mola atusaidie maana kipindi hiki cha uchaguzi majanga huwa ni nje nje.
Wewe ni wakukushugulikia ipasavyo sasa..muda umefikaSamia hakuwemo?
Sawa sawa baby wanguKutokulaaani wanayofanyiwa Wapalestina Ghaza, ndiyo tunaonjeshwa adha yake.
Wakati mwingine jitahidi kuficha ujinga wako Bibi bomba..Kutokulaaani wanayofanyiwa Wapalestina Ghaza, ndiyo tunaonjeshwa adha yake.
Nmeona maaskari wenye mafunzo ya uokoaji wanajiham na kuogopa kutoa msaada, raia wasiokuwa na mafunzo ndiyo wanapambana, inasikitisha 😔Muda huu mtaa wa Congo Kariakoo l uokoaji unawndelea.
Tuwaombee wnzetu wapone
===
Ghorofa moja katika Mtaa wa Congo na Mchikichi limeporomoka , hadi sasa hali ya majeruhi au vifo haifahamika lakini kwa mujibu wa mashuhuda kulikuwa na watu katika ghorofa hilo
View attachment 3153537
View attachment 3153536
View attachment 3153546
Unaish wapi we jamaa...apo congo wewe mwenyew unaesa ukakaa foleni nusu saa hujatoka.Gari la zimamoto linakaaje foleni zId ya nusu saa wakati fire na kariakoo ni karibu sana hapo kingora kimoja tu watu wanapisha njiaaa
NakaziaNi hatari sana.
Tatizo kubwa zaidi lililopo Tanzania ni kwamba Hakuna mamlaka madhubuti za kudhibiti viwango na ubora wa Majengo pamoja na bidhaa zingine mbalimbali.
Watanzania tunaishi kwa nguvu ya Mungu tu peke yake.
Contractor's Registration Board (CRB) iwajibike. Siku ni kijiwe Cha wajanja tu! Majengo yatakuwa na ubora gani wakati Wale mameneja waadilifu walishaondokana Sasa wamebaki wapigaji.Ni hatari sana.
Tatizo kubwa zaidi lililopo Tanzania ni kwamba Hakuna mamlaka madhubuti za kudhibiti viwango na ubora wa Majengo pamoja na bidhaa zingine mbalimbali.
Watanzania tunaishi kwa nguvu ya Mungu tu peke yake.