Jengo linalobomolewa kwanini lisiwekewe utepe mwekundu kusitisha matumizi maana wakati wa ubomoaji kuna cracks zinatokea na zinaweza kusababisha jengo kuporomoka wakati wowote. All in all kuna uzembe hapo umefanyika na ndio umepelekea haya majangaNi la zamani lilikuwa linabomolewa lijengwe jipya...
Ila watu walikuwa hawajamaliza wote kuondoka..