Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024

Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024

Ni la zamani lilikuwa linabomolewa lijengwe jipya...
Ila watu walikuwa hawajamaliza wote kuondoka..
Jengo linalobomolewa kwanini lisiwekewe utepe mwekundu kusitisha matumizi maana wakati wa ubomoaji kuna cracks zinatokea na zinaweza kusababisha jengo kuporomoka wakati wowote. All in all kuna uzembe hapo umefanyika na ndio umepelekea haya majanga
 
Kikosi
Ghorofa litaanguka likipewa hekaheka na uzito. Watu kama hamna si linakuwa limetulia hakuna hata mtikisiko wa chini kabisa.
Maghorofa ya kkoo yanajengwa kwa matofali kuanzia foundation hadi juu kabisa,sasa ukijenga ili mradi(low quality) matokeo yake ni haya ya kuzidiwa uzito na kuporomoka.
 
Jengo linalobomolewa kwanini lisiwekewe utepe mwekundu kusitisha matumizi maana wakati wa ubomoaji kuna cracks zinatokea na zinaweza kusababisha jengo kuporomoka wakati wowote. All in all kuna uzembe hapo umefanyika na ndio umepelekea haya majanga
Absolutely.

Kiutaratibu site zenye shughuli za ujenzi ( aidha kujenga au kubomoa) huwa zinatakiwa kuwekewa uzio ( fence) ya 'hoarding,' sijui ni kwa nini kwenye hilo jengo hapakuwekwa huo utepe mwekundu au hoarding fence??
 
Kuna majengo Kariakoo tunayahesabia siku tu,ujenzi holela pia umekithiri siku hizi.
Zinajengwa ghorofa nyingi zina underground na hazina Ubora.
Mtu anajenga fremu,anapangisha Kisha anaendelea na ujenzi juu!
Watu kuangukiwa na mawe na nyundo chini ni jambo la Kawaida tu kariakoo!
Ndio tulipofika!
Update;Jamaa inasemekana alikuwa anatengeneza frame za underground kwenye Jengo ambalo halikuwa designed kuwa na underground na ni Jengo la muda kidogo!
Wamegusa pabaya Jengo limekatika katikati.Yaliyotokea ndio haya.
Mwenye Jengo na wahandisi wake wote Wana kesi.
Na wenye majengo mtindo huu wanao sana.
 
Gari la zimamoto linakaaje foleni zId ya nusu saa wakati fire na kariakoo ni karibu sana hapo kingora kimoja tu watu wanapisha njiaaa
Kwani ukiambiwa waokoaji kinachokujia akilini ni gari la zimamoto!!?
KUtokana na aina ya ajali iliotokea waokoaji waje na vifaa vya kufukulia kifusi kama backhoe, excuvator nk.
 
Kuna majengo Kariakoo tunayahesabia siku tu,ujenzi holela pia umekithiri siku hizi.
Zinajengwa ghorofa nyingi zina underground na hazina Ubora
.
Mtu anajenga fremu,anapangisha Kisha anaendelea na ujenzi juu!
Watu kuangukiwa na mawe na nyundo chini ni jambo la Kawaida tu kariakoo!
Ndio tulipofika!
Nchi imekamatwa na matajiri wanachoangalia wao faida tu,yaani hakuna utaratibu watu wanahonga viongozi wananchi mtaani tunaumia.
 
Back
Top Bottom