Kupost kwenye Social Media

Waswahili wamehamishia maisha yao yote kwenye social media- Na mbaya zaidi ni malimbukeni, wanaigana na kulumbana kijinga mno. Vichambo, misuto na kila aina ya ushenzi uliokuwa unauona huko mitaa ya uswazi imehamia kwenye social media.
 
 

Ushasema wako addicted,harafu wauliza wanapata faida gani?,they feel reliefed i think...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…