Kupost kwenye Social Media

Kupost kwenye Social Media

Na mimi huwa nawashaangaa nyie ambao mnapost maisha yenu kwenye social platform kila muda kama wewe unavyonishaangaa mimi
Sijakushangaa kutopost. Nimekushangaa kutumia energy yako kuuliza kwa nini wanapost ?Yaani kuuliza kuhusu vitendo vya watu ambao hawafanyi kosa lolote kisheria.
 
Mind your own business. Kama mtu yupo Ok kupost maisha yake wewe unapungukiwa nini ?Au unaongezeka nini ?Kipe Yayo. Angalia maisha yako.
Mpaka sasa wewe mwenyewe umeshindwa kumind your own business kama ulivyomshauri. Yeye kauliza kwa vile social media anatumia wala hatoki kwenda nyumbani kwa mtu kumchunguza. Mtu akipost status nikaiona unatanambia nimind my own business, kwani nimeiomba. Hii kauli mnaitumia mbali sana na inapostahili kuishia.
 
Kumbe ndio hivo
Ndo hivyo yaani.
20200510_154121.jpg
 
Sijakushangaa kutopost. Nimekushangaa kutumia energy yako kuuliza kwa nini wanapost ?Yaani kuuliza kuhusu vitendo vya watu ambao hawafanyi kosa lolote kisheria.
Nilitaka kujua kama kuna faida ila na mimi nipost
NB ahsante kwa mchango wako
 
Mpaka sasa wewe mwenyewe umeshindwa kumind your own business kama ulivyomshauri. Yeye kauliza kwa vile social media anatumia wala hatoki kwenda nyumbani kwa mtu kumchunguza. Mtu akipost status nikaiona unatanambia nimind my own business, kwani nimeiomba. Hii kauli mnaitumia mbali sana na inapostahili kuishia.
Kaleta thread nimeona nichangie. Kaileta hapa public. Namuelekeza tu aache kutuwaste energy yake kufikiria watu kwa nini wanapost maisha yao mitandaoni. Kama yeye asivyopost ndiyo wao wanavyopost. Mimi sio mtu wa kupost ila sijiulizi kwa nini wengine wanapost.
 
Mpaka sasa wewe mwenyewe umeshindwa kumind your own business kama ulivyomshauri. Yeye kauliza kwa vile social media anatumia wala hatoki kwenda nyumbani kwa mtu kumchunguza. Mtu akipost status nikaiona unatanambia nimind my own business, kwani nimeiomba. Hii kauli mnaitumia mbali sana na inapostahili kuishia.
Umemjibu vyema
 
Wakuu habari za jumapili

Niende moja kwa moja kwenye mada husika

Kuna hawa watu ambao wanaweza wakawa labda ni ndugu au rafiki,yaani unakuta mtu yupo addicted kupost maisha yake yote kwenye hii mitandao ya kijamii

Yaani mpaka unajikuta maisha yake unayajua kwa asilimia kadhaa kwa sababu ya kupost kwenye hizi social Media

Mpaka mtu akiwa na ugomvi na mtu unakuta anapost maneno ambayo ukikakaa ukiyafikiria unaona kabisa amemlenga mtu fulani

Sasa nyie ambao huwa mna hii tabia ,Je huwa mnapata faida gani kupost maisha yenu kwenye mitandao ya kijamii?
Wangekuwa wanapost mijengo,mabiashara,mandinga,uwekezaji huko insta tuhamasike lakini 99% ya posts ni kuonyesha makalio na vyakula kwenye meza tu!!
 
Kaleta thread nimeona nichangie. Kaileta hapa public. Namuelekeza tu aache kutuwaste energy yake kufikiria watu kwa nini wanapost maisha yao mitandaoni. Kama yeye asivyopost ndiyo wao wanavyopost. Mimi sio mtu wa kupost ila sijiulizi kwa nini wengine wanapost.
Kumbe wewe ulitaka nikae kimya
 
Kumbe wewe ulitaka nikae kimya
Bora umeleta. Ndo nimekuambia acha kupoteza energy yako bure kumtafakari mtu kapost fumbo labda ni ndogo la flani. Acha kupoteza energy yako kujiuliza kwa nini watu wanapost maisha yao kwenye social media. Maana hiyo haikuaffect chochote ila ukiaanza kujiuliza maswali unatumia energy yako bure.
 
Mwanzo wa matatizo mengine ni kujitakia tu kwa kuweka kila kitu kwenye social media;

Umepata tu mtoto huyooo ushapost, mwingine anahangaika miaka kusaka mtoto, kwanini usirogwe mtoto afe au awe wa kuugua tu hata usimfurahie!

Umefanyiwa tu engagement huyoo ushapost (she said yes), mwingine hajawahi hata kusikia neno ndoa toka kwa mpenz wake karne inakata sasa, kwanini wasikuombee mabaya muachane!

Umenunua tu ndinga huyooo ushapost, mwingine miaka ananyunda tu kwa mguu hata baiskeli hana, kwanini usiombewe mabaya upate ajali.

Umenunua tu kakiatu huyooo ushapost picha ya miguu, mwingine hakumbuki hata alinunua lini kiatu kipya, kwanini tusitamani ujikwae na kiatu kichanike!

Umekula tu vizuri huyooo ushapost, mwingine hana uhakika hata kama kesho atakula, kwanini tusikuombee tu na wewe ukose kesho!

NB:SIO KILA MTU ANAPENDA MAFANIKIO YA MTU, AU KUONA FULANI ANAFURAHA, TUNACHEKEANA TU USONI ILA MOYONI TUSHACHIMBIANA KABURI LA FUTI MIA SIO SITA TENA, MARAFIKI NAO NI KAMA UYOGA TU, LEO MBOGA KESHO SUMU.

TUWEKE VITU PRIVATE UKIMSHUKURU MUNGU INATOSHA ANASIKIA SIO MPAKA UTAFUTE MABAYA KWA LAZIMA.
 
Mpaka sasa wewe mwenyewe umeshindwa kumind your own business kama ulivyomshauri. Yeye kauliza kwa vile social media anatumia wala hatoki kwenda nyumbani kwa mtu kumchunguza. Mtu akipost status nikaiona unatanambia nimind my own business, kwani nimeiomba. Hii kauli mnaitumia mbali sana na inapostahili kuishia.
Unaweza mind business zako kwa kutokuview status zao
 
Ndiyo kwa fundi. Huko kwenye mitandao adui yako physically anaweza kuwa rafiki yako kwenye social media.
Alafu hapo uliposema kwa fundi,siajkuelewa unamaana gani?
 
Bora umeleta. Ndo nimekuambia acha kupoteza energy yako bure kumtafakari mtu kapost fumbo labda ni ndogo la flani. Acha kupoteza energy yako kujiuliza kwa nini watu wanapost maisha yao kwenye social media. Maana hiyo haikuaffect chochote ila ukiaanza kujiuliza maswali unatumia energy yako bure.
Sasa wewe huyo fundi unayemzungumzia ni fundi yupi?
 
Back
Top Bottom