Kupotea kwa ndege ya Malaysia na nguvu zisizoonekana, Wataalamu wa physics karibuni

Kupotea kwa ndege ya Malaysia na nguvu zisizoonekana, Wataalamu wa physics karibuni

bomouwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2014
Posts
1,149
Reaction score
800
Habarini za muda huu jamani?

Tangu ile ndege ya malysia ipotee ktika mazingira yakutatanisha na dunia ukiri kusumbuka kutafuta bila mafanikio ni swali najiuliza kwamba je, technology ya ulimwengu huu ndio imeishia mwisho?Nilijaribu kufuatilia baadhi ya matukio ya kupotea kwa ndege ambazo hazijaonekana tena mpaka wa leo hii na nkagundua zinapotelea katika eneo la karibu sana na eneo ndege ya malaysia ilipotelea.

Wataalam wa maswala ya physics ebu niambieni jambo moja juu ya "BERMUDA TRIANGLE" au Devil's sea triangle.Ni kweli nguvu zilizopo katika triangle hii ni zakishirikina kiasi ambacho akili za binadamu hatuwezi tena kuzidi maarifa ya triangle hii?maana ndege nyingi zinazopotea katika sayari hii ya dunia zinapotelea hapo panapoitwa devil's sea na hazionekani kabisa.

Ni kweli tunaamini teknolojia ya juu ya rada zinazotumika pamoja na satelite zimeshindwa kudetect kabsa?

SWALI NI KWANINI ZINAPOTELEA HAPA KWENYE BERMUDA TRIANGLE?
 
Hakuna kitu kama hicho, sayansi haishindwi hata siku moja. Na devil ni ushirikina tu wa waafrica, au ujinga na uvivu wa kufikiri.
Oops kumbe sio waafrica
 
Hakuna kitu kama hicho, sayansi haishindwi hata siku moja. Na devil ni ushirikina tu wa waafrica, au ujinga na uvivu wa kufikiri.
Oops kumbe sio waafrica

kaunga ebu google "bermuda triangle" ndo uje tujadili maana sijui umesema nini
 
ukiweza kupata jibu kwa nini ndege hazipiti juu ya mlima kilimanjaro utaweza pia kupata jibu kuhusu ndege kwenye eneo hilo la bermuda triangle..
 
unatambua uwepo wa viumbe waishio angani waitwao Aliens??
......... Hebu google halafu utapata majibu...........
 
ukiweza kupata jibu kwa nini ndege hazipiti juu ya mlima kilimanjaro utaweza pia kupata jibu kuhusu ndege kwenye eneo hilo la bermuda triangle..

kwasababu ya gravitatin force . Unajua mlima kirimanjaro una hole
 
Pale Bermuda mi nadhani ni masalia ya technology ya wale jamaa wenye IQ 2000 kutoka sayari ya COSMOS. Pale kuna rocks in the waters ambazo zimepangwa vizuri tu and zina emitt some gases tha cause very tiny bubbles in the waters and cause less density in the waters. Ile miamba yenye magnetic forces kubwa sana na ndo maana objects hazikatizi juu yake.
 
Hakuna kitu kama hicho, sayansi haishindwi hata siku moja. Na devil ni ushirikina tu wa waafrica, au ujinga na uvivu wa kufikiri.
Oops kumbe sio waafrica

Thank God kumbe upo. Unajua jana nilikuwa nafikiria ile ajali ya jengo SCOAN, nikajiuliza kama ulikuwepo au lah!!
 
Habarini za muda huu jamani?

Tangu ile ndege ya malysia ipotee ktika mazingira yakutatanisha na dunia ukiri kusumbuka kutafuta bila mafanikio ni swali najiuliza kwamba je, technology ya ulimwengu huu ndio imeishia mwisho? Nilijaribu kufuatilia baadhi ya matukio ya kupotea kwa ndege ambazo hazijaonekana tena mpaka wa leo hii na nkagundua zinapotelea katika eneo la karibu sana na eneo ndege ya malaysia ilipotelea.

Wataalam wa maswala ya physics ebu niambieni jambo moja juu ya "BERMUDA TRIANGLE" au Devil's sea triangle. Ni kweli nguvu zilizopo katika triangle hii ni zakishirikina kiasi ambacho akili za binadamu hatuwezi tena kuzidi maarifa ya triangle hii? maana ndege nyingi zinazopotea katika sayari hii ya dunia zinapotelea hapo panapoitwa devil's sea na hazionekani kabisa.

Ni kweli tunaamini teknolojia ya juu ya rada zinazotumika pamoja na satelite zimeshindwa kudetect kabsa?

SWALI NI KWANINI ZINAPOTELEA HAPA KWENYE BERMUDA TRIANGLE?


Hizi triangle ni za kufikirika kiuhalisi hazipo ila maeneo yanayohusishwa nazo yapo . "Bermuda Triangle" ni tofauti na "Dragon's triangle" kama alivyoiita Berlitz, ni sehemu mbili tofauti na ziko kwenye maeneo ya bahari zilizo mbali-mbali kabisa. Atlantic na Pacific.

MH370 inaweza kuhusishwa na Dragons triangle (kama conspiracy tu) kwa ukaribu wa chombo na eneo hili pale mwisho wa radio signals before disappear na sio Bermuda kwa kuwa route ya MH370 haikupita Atlantic. Naona umetaja kwa kuchanganya. Tuanzie hapo...,
 
Hivi kama ile ndege waliamua kuifutilia mbali watu wale wale ambao tunatarajia watuambie ilipo si itakuwa ni kituko kudhani kweli "haipo" au "haijulikani ilipo"?
 
Hizi triangle ni za kufikirika kiuhalisi hazipo ila maeneo yanayohusishwa nazo yapo . "Bermuda Triangle" ni tofauti na "Dragon's triangle" kama alivyoiita Berlitz, ni sehemu mbili tofauti na ziko kwenye maeneo ya bahari zilizo mbali-mbali kabisa. Atlantic na Pacific. MH370 inaweza kuhusishwa na Dragons triangle (kama conspiracy tu) kwa ukaribu wa chombo na eneo hili pale mwisho wa radio signals before disappear na sio Bermuda kwa kuwa route ya MH370 haikupita Atlantic. Naona umetaja kwa kuchanganya. Tuanzie hapo...,

ni sawa lakini najaribu kujiuliza tu ukweli na uhalisia wa haya mambo yaani upoteaji wa ndege hizi na pengine labda kuna nguvu ambazo hatuzijui katika sayari ya dunia.. nadhani hapa ndo kwenye msingi wa mada kaka.. tusaidiane
 
Habarini za muda huu jamani?

Tangu ile ndege ya malysia ipotee ktika mazingira yakutatanisha na dunia ukiri kusumbuka kutafuta bila mafanikio ni swali najiuliza kwamba je, technology ya ulimwengu huu ndio imeishia mwisho?Nilijaribu kufuatilia baadhi ya matukio ya kupotea kwa ndege ambazo hazijaonekana tena mpaka wa leo hii na nkagundua zinapotelea katika eneo la karibu sana na eneo ndege ya malaysia ilipotelea.

Wataalam wa maswala ya physics ebu niambieni jambo moja juu ya "BERMUDA TRIANGLE" au Devil's sea triangle.Ni kweli nguvu zilizopo katika triangle hii ni zakishirikina kiasi ambacho akili za binadamu hatuwezi tena kuzidi maarifa ya triangle hii?maana ndege nyingi zinazopotea katika sayari hii ya dunia zinapotelea hapo panapoitwa devil's sea na hazionekani kabisa.

Ni kweli tunaamini teknolojia ya juu ya rada zinazotumika pamoja na satelite zimeshindwa kudetect kabsa?

SWALI NI KWANINI ZINAPOTELEA HAPA KWENYE BERMUDA TRIANGLE?

Lakini Malaysia haijapotea katika Bermuda triangle....
 
Lakini Malaysia haijapotea katika Bermuda triangle....

uko sahihi hapa hoja yangu ni mahusiano ya upoteaji na mambo kama bermuda.. yani nyie wataalamu wa fizikia mnaamini?
 
ni sawa lakini najaribu kujiuliza tu ukweli na uhalisia wa haya mambo yaani upoteaji wa ndege hizi na pengine labda kuna nguvu ambazo hatuzijui katika sayari ya dunia.. nadhani hapa ndo kwenye msingi wa mada kaka.. tusaidiane

Mkuu bomouwa, unapoanza kwa kupendekeza nguvu ambazo hatuzijui (ukimaanisha conspiracy za triangle hizi katika bahari) kama ndio kitu nyuma ya MH370 unakuwa umerule-out other possibilities ambazo pia zinaweza kuwa chanzo au zisiwe chanzo. Kwa hiyo hapa moja kwa moja tutaanza kujadili "trianges" na kama tumejiridhisha kwamba hiyo hasa ndio chanzo cha kupotea kwa flight MH370. Kwa hii tutapotezana.

Mimi nafikiri kupotea kwa MH370 ni jambo moja na dhana ya "Triangles" au nguvu za ajabu uvutano ni jambo jingine. Kama kuna causality (mfano Dragon triangle ndio chanzo cha kupotea kwa MH370) basi lazima tu-establish sababu zisizo na shaka kuhusu hilo na hii kwa sasa haina uzito au kama upo basi share nasi kwanza.

Tungeweza kuangalia upotevu wa flight MH370 kupitia sababu nyingi tofauti zinavyotajwa au kudhaniwa kwa ujumla na pia tungeweza kuangalia Bermuda triangle + Dragon triangle na explanations zake, separately. Baada ya hapo kila mtu anaweza kuamua lake maana kila kitu kinaweza kuwa wrong or right anyway, ingawa kuna vingine vina uzito na vingine havipewi nafasi kubwa.
 
Mkuu bomouwa, unapoanza kwa kupendekeza nguvu ambazo hatuzijui (ukimaanisha conspiracy za triangle hizi katika bahari) kama ndio kitu nyuma ya MH370 unakuwa umerule-out other possibilities ambazo pia zinaweza kuwa chanzo au zisiwe chanzo. Kwa hiyo hapa moja kwa moja tutaanza kujadili "trianges" na kama tumejiridhisha kwamba hiyo hasa ndio chanzo cha kupotea kwa flight MH370. Kwa hii tutapotezana.

Mimi nafikiri kupotea kwa MH370 ni jambo moja na dhana ya "Triangles" au nguvu za ajabu uvutano ni jambo jingine. Kama kuna causality (mfano Dragon triangle ndio chanzo cha kupotea kwa MH370) basi lazima tu-establish sababu zisizo na shaka kuhusu hilo na hii kwa sasa haina uzito au kama upo basi share nasi kwanza.

Tungeweza kuangalia upotevu wa flight MH370 kupitia sababu nyingi tofauti zinavyotajwa au kudhaniwa kwa ujumla na pia tungeweza kuangalia Bermuda triangle + Dragon triangle na explanations zake, separately. Baada ya hapo kila mtu anaweza kuamua lake maana kila kitu kinaweza kuwa wrong or right anyway, ingawa kuna vingine vina uzito na vingine havipewi nafasi kubwa.

u
nakuelewa vizuri sana lakini najiuliza ni kwa nini watu hasa wafuatiliaji wamekua wakihisi huenda kuna mahusiano kati ya kupotea kwa ndege na mambo haya ya uwepo wa extra ordinary power though the universe isn't limited .nadhani unanielewa ndugu yang
 
watoa reply wote wanadeal na waafrika kwa uchawi google ujue wanaongoza kwa uchawi duniani kama si wamarekani na islaeri.
 
Hawana ubavu wa kutuonyesha ndege ilipo. Halafu wanataka kujua wapi alipo Mungu. Sick to the core
 
Hivi kama ile ndege waliamua kuifutilia mbali watu wale wale ambao tunatarajia watuambie ilipo si itakuwa ni kituko kudhani kweli "haipo" au "haijulikani ilipo"?
Mtumishi,

Kama hawa non theist wameshindwa kuipata ndege waliyo tengeza, hivi wanaweza kudai kuwa hakuna Mungu? Hii ni argument tosha ya kuwasambaratisha hawa non theists au God Haters,
 
Back
Top Bottom