akabombela
Member
- Dec 20, 2013
- 28
- 7
Kupotea kwa ndege ya shirika la ndege la Malaysia MH370,je tuamini uwepo wa viumbe kutoka sayari nyingine(aliens)au kama wataalam wanavyowaita E.B
.Es, na vifaa vyao UFOs na namna yao ya kuweza kusafirisha watu,vifaa na vyombo vya usafiri kama ndege magari kwa namna ya kuvanish na kupelekwa sehemu wanayoitaka wao(kama ilivyotokea).wakuu maoni tafadhari.
.Es, na vifaa vyao UFOs na namna yao ya kuweza kusafirisha watu,vifaa na vyombo vya usafiri kama ndege magari kwa namna ya kuvanish na kupelekwa sehemu wanayoitaka wao(kama ilivyotokea).wakuu maoni tafadhari.