Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kiranga aje na fix zake za technologia na sayansi ilivyosonga Mbele kiasi cha radar, gis sijui GPS sijui na nini vingine plus settelite kushindwa kuona commercial jet liner ? Mungu yupo na siri zake zimefunuliwa kwa wachache huku atheist wakibaki kujidanganya na technologia ambayo imeshondwa kuona Boeing 777-200. Kiranga anza kumwaga kariri zako tuone ulivyo mtupu kufikiri ukiendelea jidanganya kwamba techn na sayansi vinajua mambo mengi wakati vonayajua machavhe na Hayo machache viyajuayo vinajua kiduchu tu. Hakuna radar, setelite wala nini katika dunia yote Hata ya mungu wenu amerika iliyoweza kuona commercial jetliner angani...
Kupotea kwa ndege ndiyo kuna prove kwamba mungu yupo?
Kama mungu yupo, ana uwezo wote na upendo wote, kwa nini aumbe ulimwengu ambao dege linaweza kupotea kwa wiki nzima na kuweka watu roho juu?
Ni kwa sababu hakuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu bora zaidi?
Au alikuwa na uwezo lakini hakujali tu?
Una bash science wakati hapohapo unatumia internet?
What kind of ignoramus are you?
Last edited by a moderator: