Too low for JF GT. Akampa uwezo na utawala juu ya yote...utakuwa hujui Hata Tukiongelea mungu twaongelea nini ... Unao udhaifu katika kufikiri hilo ndilo tatizo llinallokufanya uandike unavyoandika...hujajitambua na bado safari ni ndefu
Mnaposema mungu wa upendo mnamaanisha nn??,mbona kichwa chako kigumu kuelewa???.,mbona hamswmi mungu wa uovu??,kwa nn mumpe uovu shetan na lumlaumu nawakati ni kaz ya mikono ya mungu wenu??.,kijana funga mkanda tafakar usikurupuke