Kupotea sokoni kwa vinywaji vya MO mll 400 nini shida?

Kupotea sokoni kwa vinywaji vya MO mll 400 nini shida?

acheni kudanganya humu jamani hivyo vinywaji havijafungiwa Bali ameishiwa sukari ya kutengenezea ndo ipo bandarini anasubiri kuitoa, na hili tatzo lilianza mwaka Jana mwishoni
 
Kuna fununu kuwa sukari yao imefungiwa
Mo ana kiwanda cha sukari? Mo ni mhuni tu kama wahuni wengine wa manzese..

Huyu jamaa siku zake zinahesabika, alikuwa anakibali cha kuangiza sukari kutoka nje anaingiza nchini halafu anaifaulisha kwenye mifuko yenye nembo ya kampuni yake halafu anapiga hela

Azam kasha kuwa mjanja hela zake sasa hivi anazirejesha kwa jamii kwa kutoa ajira na kufungua viwanda huko pwani analima shamba la miwa laana, hadi 2020 anatengeneza humo humo sambani hospital na nyumba za kuishi wafanyakazi wake, zanzibar anajenga kijiji

Jiulize pamoja na mo kufanya biashara kimagumashi hyo hela anaipeleka wapi kama siyo kuzitoroshea nje
 
Ni kweli azam anaogopa sana ushindani anatumia njia haramu anapozidiwa hii kesi yake na Azania inayoendelea Rwanda ni mfano mzuri

Hii ya MO sina uhakika nayo sana, ila ile ya Rwanda imenishangaza sana, jamaa nilikuwa namkubali sana lakini kwenda kusajili jina la mpinzani tena ukiwa hulitumii siyo fair.

Sijajua kesi inaendeleaje mpaka sasa.
 
Mo ana kiwanda cha sukari? Mo ni mhuni tu kama wahuni wengine wa manzese..

Huyu jamaa siku zake zinahesabika, alikuwa anakibali cha kuangiza sukari kutoka nje anaingiza nchini halafu anaifaulisha kwenye mifuko yenye nembo ya kampuni yake halafu anapiga hela

Azam kasha kuwa mjanja hela zake sasa hivi anazirejesha kwa jamii kwa kutoa ajira na kufungua viwanda huko pwani analima shamba la miwa laana, hadi 2020 anatengeneza humo humo sambani hospital na nyumba za kuishi wafanyakazi wake, zanzibar anajenga kijiji

Jiulize pamoja na mo kufanya biashara kimagumashi hyo hela anaipeleka wapi kama siyo kuzitoroshea nje
Kama sio chuki binafsi basi unaongea usichokijua. MO amekua akiagiza sukari kutoka Brazil kwa kibali maalum wala habadilishi vifungashio.
 
Hii ya MO sina uhakika nayo sana, ila ile ya Rwanda imenishangaza sana, jamaa nilikuwa namkubali sana lakini kwenda kusajili jina la mpinzani tena ukiwa hulitumii siyo fair.

Sijajua kesi inaendeleaje mpaka sasa.
Nadhani hizo ni mbinu za kibiashara tu lkn tusubiri maamuzi ya mahakama ya huko.
 
Kesi yao Rwanda kuna uwezekano Bakhressa akashinda kwa sababu Azania alikua amejisajili kama Azania Tanzania sio East afrika, ila majaji wakitulia na kuzingatia hawa ni competitors tokea Tanzania inawezekana Azania wakarudishiwa haki ya jina lao.
Hii ya MO sina uhakika nayo sana, ila ile ya Rwanda imenishangaza sana, jamaa nilikuwa namkubali sana lakini kwenda kusajili jina la mpinzani tena ukiwa hulitumii siyo fair.

Sijajua kesi inaendeleaje mpaka sasa.
 
Hivi karibuni kulikuwa na vinywaji vya MO mtaani ambavyo vilikuwa vinafanya vizuri sana sokoni kutokana na ujazo wake mkubwa wa ml 400 kwa kila chupa na kwa bei ile ile ya sh 500 kama vinywaji vingine vya backressa na soda

Lakini hivi karibuni nimeahtuka havionekani kabisa madukani na ukiwauliza kila mtu ana jibu lake , je vimefungiwa kwa kukosa ubora au tatizo lipo wapi?

Kama vina tatizo ni heri Tfda watoe taarifa na kama havina tatizo bali ni mambo mengine namshauri MO atupe taarifa sahihi wateja wake ili tujue hivi vinjwaji vinarudi lini sokoni
c891127f27727a34ec85e7f8a6428d8d.jpg


===========================
eti alikuwa akitumia KK sugar (ultra sweet) ambayo ina madhara kwa watumiaji
 
Kesi yao Rwanda kuna uwezekano Bakhressa akashinda kwa sababu Azania alikua amejisajili kama Azania Tanzania sio East afrika, ila majaji wakitulia na kuzingatia hawa ni competitors tokea Tanzania inawezekana Azania wakarudishiwa haki ya jina lao.
Ndiyo maana nimesema tusubiri maamuzi ya mahakama.

Sikatai swala lake la kushinda, am just looking at it on morally point of view.

Was it moral kwa Azam kusajili Azania akijua ni jina la competitor, na at the same time hana mpango wa kulitumia?
 
Mo ni mhuni, sijawahi kuona bidhaa ya huyu jamaa yenye ubora unaostahili kutumiwq na binadamu!

Bidhaa Zake nyingi zina ubora wa chini sana!

Hiki kinywaji Ilikuwa janga kubwa kwa wanawake, Ina sukari nyingi na hata km sio mtaalamu wa afya utajua tu kuwa haifai kutumika
Nenda ukaone kisima kinachotumika kujaza maji ya maisha na masafi kule vingunguti.
 
Azam ni muoga anataka anataka Ku monopolize soko kwa njia haramu
Sikatai swala lake la kushinda, am just looking at it on morally point of view.

Was it moral kwa Azam kusajili Azania akijua ni jina la competitor, na at the same time hana mpango wa kulitumia?
 
Sasa mbona mamlaka ya dawa na chakula haijatangaza kama ni kweli?
hakuna aliyeuliza wala kulalamika, wameviondoa tu kimyakimya sokoni, hii ni rushwa kama rushwa nyingine ili asiharibu soko la bidhaa zake nyingine
 
Sikatai swala lake la kushinda, am just looking at it on morally point of view.

Was it moral kwa Azam kusajili Azania akijua ni jina la competitor, na at the same time hana mpango wa kulitumia?
Morally Azam anawezakua wrong lkn still akawa legally right na mahakama hufata kipengele cha legality zaidi kuliko morality
 
Back
Top Bottom