Ally maganga
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 1,433
- 913
Sumu gani ebu toa ufafanuzi wa kisayansi.vina sumu ndani.. chukua mo chungwa iweke kwenye chupa ya maji.. funga kesho yake utakuta chupa ya maji imekuwa kama puto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sumu gani ebu toa ufafanuzi wa kisayansi.vina sumu ndani.. chukua mo chungwa iweke kwenye chupa ya maji.. funga kesho yake utakuta chupa ya maji imekuwa kama puto
Sijaelewa boss!! Kwani yenyewe si ipo ktk chupavina sumu ndani.. chukua mo chungwa iweke kwenye chupa ya maji.. funga kesho yake utakuta chupa ya maji imekuwa kama puto
Kwani asali na sumu vyote si vinahifadhiwa katika chupa. Ila mbona ukinywa ile sumu unakufa?Sijaelewa boss!! Kwani yenyewe si ipo ktk chupa
Aisee hayo madude ni sumu kweli, bora unywe maji tu. Nikigusa soda na juisi za chupa labda nimewekewa kwenye hafla sina chaguo la kubadilimatunda yamejaa watu wanashindwa kunywa juice harisi wanakimbilia misumu hiyo. baadae sisi tutawasaidia tu wake zao wewe waache, sisi zetu juice za kukamua ,maziwa na madafu maji