muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Ngumu sana kwa wanaume wenzetu waliosoma seminary,yaani katika kunyanduana full heshima! Ohh mkao huu mchungaji wetu kakataza , kumbe ndiyo anapotea, hawa viumbe wanahitaji fujo na utundu kila eneo, kila siku unakuja na ubunifu mpya, sio kukalili tu kuitafuna mbususu ni kitandani pekee, popote unamchapa nao faragha tu iwepo.Najibu kama mwanaume; mumeo hana swaga, na hii hutokea pale mnapozoeana sana, na kuona vitu vingine havina umuhimu.
Nb: mwambie mr aku-treat wewe kama muhuni fulani, akuchape chape hizo assets ulizonazo; naimani utafurahia uhusiano ulionao.
Ila huu uandishi huu. Sidhani! Anyway wanawake hawajui wanachotaka siku zoteMpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.
Sasa wanawake wajiongeze ikibidi watumie hata mafuta ya kuboost nyege.Huo ndio Ukweli mchungu watu tusiotaka kuusikia..
Hili tatizo la kusema nimechoka sijui linatokana na Nini,,,nadhani malumbano ya Mara Kwa Mara yanachangia Sana kufifisha hisia baina ya wenza,Kuna haja ya kuangalia afya ya ndoa kwenye maelewani ya kila siku maana hayo ndio yataleta mahusiano Bora kwenye sex.Sasa wanawake wajiongeze ikibidi watumie hata mafuta ya kuboost nyege.
Ki ukweli kabisa mwanaume kama hana tatizo lolote la kiafya miaka 40 - 50 hapa ndio umri ambao nyege zinapamba moto, sasa wewe kila ukiguswa umechoka niache.
Aisee hapo mwanaume asipopiga show za nje basi ujuwe ana financial harassment hana pesa ya kuweza kuhonga warembo.
Maana kimsingi mapenzi unatakiwa uyapate kwa mke wako, ila ukitoka nje hakuna mapenzi ni biashara ya ngono ndio inafanyika hapo pesa ni kipengele muhimu.
Haijarishi mwanamke hajiuzi lakini hatowi bure pia, pesa ni muhimu, nje hakuna vya bure.
Si ukale yale mapipi yenu ya kuongeza nyegezi.
Na wakipata Mume mwenye future,wanasema hawana furahaa ndani ya Ndoa!!!Tatizo mkipata mume bora mnnasema hana future, kwahiyo hamjui ni nini mnataka.
Mungu ni mwema dada[mention]Glenn [/mention] za uzima??
Basi akajisokomeze pipi.Sio kila pipi inaliwa mkuu...
Vile huwa wanavisokomeza kwenye mashine...
Wewe sio mke bali takataka.Nimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.
Twende kwenye Hoja
Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.
Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.
Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.
Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.
Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.
Nina miaka 12 kwenye ndoa
Yasikie tu kwa wengine , kuna wengine hufikia stage ya kuoneana haya hata nguo hawavui mbele ya wenza wao na wengine ili waweze kufanyana ni mpaka wakalewe, macho kavu hawawezi kabisaPolesana kumbe ndoani Kuna kukosa hamu Tena mambo ni mengi kweli
Mateso yako unayarithisha na kwa mtoto wako,unataka asiolewe kisa wewe una nyanyasika na mumeo vipi wanaume wote ni wabaya akiwemo baba yako futa hayo maneno uliyomtamkia mwanao kwani maneno huumba.Kwa ambao hayajawafika mwaweza comment vibaya ,hii hali wanawake wengi sana inawapata,hata mimi lakini nimejifanyia tathmin ,mume wangu yupo very rude ,yaani ni mtu wa kufoka sana na mwepesi wa hasira hivyo kipigo hata kwa kosa dogo atakupiga ,kwa familia ni baba bora sana ,ila kwa mke kafail unanitahidi kumtimizia na kumtii kama mke but una kuta ndiyo nature yake mpka mwenyewe anakili kuwa hata kazini wanamsema ni mkali sana anawezaje kuishi na mkewe ? Sasa come back wanawake akikutana na mwanume wa aina hii anaishi kwa kuvumilia ila upendo unaisha kwa mumewe,kwani mwanamume hana habari na mke,mimi hii hali naongea coz naiptia tangu nimeolewa sijawahi ambiwa neno nakupenda ,nimekumiss but huwa nakuta text za michepuko so huwa tunagombana sana na mr ,nikamwambia kuwa kumbe una uwezo wa kuaambia wengine nimekumiss ,mimi nikumbia au kutext unajibu ahsante but hujawahi niambia hata siku 1 ,hii hali haziwezi kupoteza hisia na mwezni wako tusijudge tu negative lazima vyanzo vipo ,but mimi totally imepelkea mpaka sipendi kabisa wanaume ,niliwahi mwambia mr kuwa natamani mwanangu asije olewa kwani naona atanyanyasika kwa ndoa ,kwa ujumla sijawahi ona raha ya ndoa nimejitahidi sana kwa maombi ,nimlete mr karibu but nature yake hawezi badilika
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyuzi za hivi....utadhani wanaume wote ni waseminari [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kmnn zenu
Nimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.
Twende kwenye Hoja
Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.
Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.
Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.
Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.
Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.
Katesti kinu sehemu nyingine uone kama kinariakti....Nimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.
Twende kwenye Hoja
Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.
Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.
Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.
Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.
Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.
Mnatufungua macho aisee.... kwa hiyo mnatufhukuliaga mida fulani kama kaka zenu tu na seks ni bora liende tu...!ππππNimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.
Twende kwenye Hoja
Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.
Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.
Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.
Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.
Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.