Kupulizwa kwa dawa kwenye vyumba vya kupumzikia wachezaji ni dawa gani hizo?

Na ndio maana hata ushindi wao lazima uwawekee ?????!!??!!!!????
 
Wewe ni mjinga
Sio mjinga naelewa....
Kauli mbiu yenu ya" Kwa mkapa hatoki mtu" ina nakshi zote za ushirikina
Mnategemea nini pale kwa mkapa?mbona kwingine mnakua hamna uhakika wa kushinda?
Acheni uchawi chezeni mpira
 
Hivi uwanja wa mkapa ni wa simba kwani? Kama ndiyo basi hizo tuhuma zako labda ni kweli lakini kama sio basi utakuwa wewe una kaupungufu fulani kwenye kufikiri
 
Sio mjinga naelewa....
Kauli mbiu yenu ya" Kwa mkapa hatoki mtu" ina nakshi zote za ushirikina
Mnategemea nini pale kwa mkapa?mbona kwingine mnakua hamna uhakika wa kushinda?
Acheni uchawi chezeni mpira
Simba haijawai kushinda ugenini?
 
Sasa na nyie si mpulizie ili muwe na hizo nguvu?
 
Wakanushe vipi taarifa za kweli? Hata kamisaa alikiri kuwa Simba imepulizia dawa.
Kwa kuwa TFF ni Simba hata hili litapita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…