Kupunguza matiti

hapana situmii
 

Sorry mkuu,matiti yanayotoa majimaji ni moja ya dalili ya kansa??nina shida ya titi moja la upande wa kushoto kwa ndani ni km msuli sijui ni mshipa umevimba nilikwenda hsplt dokta akanicheka nikapewa flucomox kwa maana kwamba inawezekana ni bacteria,nimetumia bt ile hali imenywea kias ila sasa titi limekua laini km sponchi yan mpk nachoka natafuta nafasi nipate kwenda MNH maana naogopa isije kuwa cancer
 
Kama yanatoka yenyewe bila kukamuliwa inabidi ukafanye uchunguzi zaidi.. vipi harufu yake hayo majimaji ?na yana rangi gani ?

Sent from my iPhone6 using JamiiForums mobile app
 
Kama yanatoka yenyewe bila kukamuliwa inabidi ukafanye uchunguzi zaidi.. vipi harufu yake hayo majimaji ?na yana rangi gani ?

Sent from my iPhone6 using JamiiForums mobile app

No mkuu hayatoki ht kwakukamuliwa ila ni hiyo hali ya uvimbe na kubonyea tofauti na lingne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…