Kupunguza matiti

Kupunguza matiti

ora

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2016
Posts
1,198
Reaction score
1,126
Habari zenu wana-Jf

Nasumbuliwa na ukuaji wa matiti yamejaa sana, halafu yanauma kila wakati, mpaka nakosa amani sasa.

Nauliza; Kama kuna mtu anafahamu namna ya kuyapunguza kwa namna yyoyote hasa mazoezi anifahamishe.

Asanteni.
 
Ni vizuri ungeenda kwanza hospital wapime labda kuna tatizo la kiafya. Sijawahi ona mazoezi ya kupunguza matiti zaidi ya oparesheni.
 
Umejaribu kumpa mtu ayanyonye vizuri?

Nilisoma mahali kuwa mwanamke kunyonywa huko kuna advantages.
 
Kama kweli una hlo tatzo nenda tu hospitali nzuri utapta tu msaada.

Philips X2560
 
kuna dawa unazotumia? Kama si dawa basi una stress za muda mrefu zilizosababisha hormone imbalances.
Homone imbalance naweza kubali maana hata siku zangu haziko sawa kabisa. siblees vizuri vinatoka vitone vitone.
sasa ina maana homone zikikaa vzuri yatarudi kuwa kawaida yanywee kidogo au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Homone imbalance naweza kubali maana hata siku zangu haziko sawa kabisa. siblees vizuri vinatoka vitone vitone.
sasa ina maana homone zikikaa vzuri yatarudi kuwa kawaida yanywee kidogo au

Sent using Jamii Forums mobile app
Muone daktari lakini kawaida mwili wa binadamu unakuwa katika state of equilibrium yaani kila kitu kinajibalance, sasa kukiwa na tatizo kama mawazo, ubongo unatoa order hormones zizalishwe zaidi au zisimamishwe ndiyo unaona hitilafu hizo. Dr. anaweza kukupa hormone pills zitakazoweka mambo sawa.
 
kuna dawa unazotumia? Kama si dawa basi una stress za muda mrefu zilizosababisha hormone imbalances.

Homone imbalance naweza kubali maana hata siku zangu haziko sawa kabisa. siblees vizuri vinatoka vitone vitone.
sasa ina maana homone zikikaa vzuri yatarudi kuwa kawaida yanywee kidogo au

Sent using Jamii Forums mobile app

Ora.JPG


Dada ora , mwaka jana hukucheki hiyo kitu?

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom