Kupunguza migogoro ya ardhi Wizara ya Ardhi iweke ramani na taarifa muhimu online

Kupunguza migogoro ya ardhi Wizara ya Ardhi iweke ramani na taarifa muhimu online

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Ramani za miji kwa maeneo yaliyopimwa ni public document.

Migogoro mingi ya ardhi inakuwepo kutokana na double allocation. ( Ardhi moja kuuziwa kwa watu wawili).

Itungwe sheria itayopelekea ramani za maeneo yaliyopimwa na ambayo bado kuwa online na kuwa access upon payment of a certain fee.

Iwe sheria kwamba kila transaction itayofanyika iwe updated online within a specific time frame after a transaction has been made.

Hayo yasipofanyika kuwe na penalties kwa defaulters.

CGT ipunguzwe kidogo toka 10% to 6 PC, maana hii inafanya watu wengi wakwepe kusajili mauzo ya ardhi.

Tukifanya hivyo walau tutapunguza migogoro ya Ardhi.
 
Kama hawana hata customer care. Hata simu ya kupiga kuuliza jambo hawana na wala hawataki ndo waje wafanye hko unachotaka mkuu.. nchi hii tuivumilie tuu ila hakuna kitu
 
Suala la migogoro ya ardhi inasababishwa Sana na watu wenyewe mama yangu kila siku analalamika jirani Yale anasogeza jiwe la mpaka yaani anajiongeezea nafasi alafu wakienda aridh anasikilizwa aliesogeza mpaka ilihali ramani inaonyesha ukubwa wa aridhi Kuna muda mtu unafuatilia mpka unachoka
 
Siku vikiibuka vyuo binafsi vya ardhi, nina hakika utendaji wao utabadilika.kwa sasa wanaajiriwa kimazoea na viongozi wao pia hawana focus ya nitaifanyia nini idara, wizara, nchi.
 
Ramani za miji kwa maeneo yaliyopimwa ni public document.

Migogoro mingi ya ardhi inakuwepo kutokana na double alocation. ( Ardhi moja kuuziwa kwa watu wawili).

Itungwe sheria itayopelekea ramani za maeneo yaliyopimwa na ambayo bado kuwa online na kuwa access upon payment of a certain fee.

Iwe sheria kwamba kila transaction itayofanyika iwe updated online within a specific time frame after a transaction has been made.

Hayo yasipofanyika kuwe na penalties kwa defaulters.

CGT ipunguzwe kidogo toka 10% to 6 pc, maana hii inafanya watu wengi wakwepe kusajili mauzo ya ardhi.

Tukifanya hivyo walau tutapunguza migogoro ya Ardhi.
Mbona Taarifa zipo ?Tatizo ni Watendaji wa Ardhi wananyofoa Taarifa na kufanya Yao
 
Ramani za miji kwa maeneo yaliyopimwa ni public document.

Migogoro mingi ya ardhi inakuwepo kutokana na double alocation. ( Ardhi moja kuuziwa kwa watu wawili).

Itungwe sheria itayopelekea ramani za maeneo yaliyopimwa na ambayo bado kuwa online na kuwa access upon payment of a certain fee.

Iwe sheria kwamba kila transaction itayofanyika iwe updated online within a specific time frame after a transaction has been made.

Hayo yasipofanyika kuwe na penalties kwa defaulters.

CGT ipunguzwe kidogo toka 10% to 6 pc, maana hii inafanya watu wengi wakwepe kusajili mauzo ya ardhi.

Tukifanya hivyo walau tutapunguza migogoro ya Ardhi.
Tukumbushane.

Agenda kuu ni KATIBA mpya.

Tunataka Rasimu ya Judge Warioba irudi mezani, Tuanzie hapo.
 
Tukumbushane.

Agenda kuu ni KATIBA mpya.

Tunataka Rasimu ya Judge Warioba irudi mezani, Tuanzie hapo.
Hata Katiba Mpya ikija Mambo yatakuwa Yale Yale kwasababu uwajibikaji ziro mtu Kama anajua aliekosea au kuvunja sheria na bado hachukuliw hatua

Pili sheria ya ardhi inasemaje kuhusu umiliki?

Kuna muda ukifika Kama eneo lako hujaliendeleza linauzwa lakini wawekezaji wengi maeneo yao wameshindwa kuyaendeleza but hakuna hatua inayo chukuliwa
 
Mbona Taarifa zipo ?Tatizo ni Watendaji wa Ardhi wananyofoa Taarifa na kufanya Yao
Tunataka kuona updates za mara kwa mara.

Simu zenyewe unaweza piga hakuna anayepokea.
 
Ata katiba mpya ikija Mambo yatakuwa Yale Yale kwasababu uwajibikaji ziro mtu Kama anajua aliekosea au kuvunja sheria na bado hachukuliw hatua

Pili sheria ya aridh inasemaje kuhusu umiliki?

Kuna muda ukifika Kama eneo lako hujaliendeleza linauzwa lakini wawekezaji wengi maeneo yao wameshindwa kuyaendeleza but hakuna hatua inayo chukuliwa
Katiba mpya itapungua mamlaka ya Rais ambayo ndiyo chanzo Cha matatz mengi nchini,

Tutapata mifumo imara ktk KUSIMAMIA Nchi.

Amen
 
Back
Top Bottom