jeremiamnzava
Member
- Jul 10, 2024
- 12
- 20
Habari wadau,
Ninafanya kazi shirika fulani tukapewa likizo ya siku 28, siku ya moja kabla ya kurudi kazini nikapewa notice of termination ya siku 30, ikieleza shirika husika linapitia financial difficult na wanafanya wanafanya collaboration na shirika lingine.
Kwa hiyo nitafanya kazi kipindi cha notice.
Ila mimi nimestukizwa na sikupewa notice of intentions of retrenchment, wala hakukuwa na consultation, sikuitwa wala hatukujadili chochote zaid ya kapewa tu notice of termination.
Naomba msaada wenu kisheria imekaaje hapo au haki yangu ni ipi?
Mifano ya case zilizofanyika zitasaidia pia.
Ninafanya kazi shirika fulani tukapewa likizo ya siku 28, siku ya moja kabla ya kurudi kazini nikapewa notice of termination ya siku 30, ikieleza shirika husika linapitia financial difficult na wanafanya wanafanya collaboration na shirika lingine.
Kwa hiyo nitafanya kazi kipindi cha notice.
Ila mimi nimestukizwa na sikupewa notice of intentions of retrenchment, wala hakukuwa na consultation, sikuitwa wala hatukujadili chochote zaid ya kapewa tu notice of termination.
Naomba msaada wenu kisheria imekaaje hapo au haki yangu ni ipi?
Mifano ya case zilizofanyika zitasaidia pia.