Kwa vile tulikubali kuungana na kupoteza hadhi ya mataifa yetu ya Awali tangu 1964 mf. Tanganyika kuwa kama nchi, solution ya kweli ktk hili na kuujenga zaidi muungano ni SERIKALI MOJA TU. Tatizo Wazanzibar kwa muda wote huo wamekuwa na hadhi kama nchi lakini hawaridhiki. Zaidi hapo Muungano utakufa kihoro kimnyakimnya.