Serikal tatu ndio suruhishi maana itareta usawa wa kira pande ina itaondoa mtafaruku na marumbano yaliyopo kwa sababu wazanzibar wanataka nchi yao na watanganyika tunataka nchi yetu tunataka serikal tatu ni kwa ajili ya kuuenzi muungano na viongoz wetu wario tutangulia, bira hivyo ilikuwa kira nchi ibaki na chake, alafu niwashangae kidogo ndugu zangu wanao mg'ang'ania serikal mbili sijui ninani kawaroga! Hainiingii akilini kwamba mtu unaerim yako ya kutosha unashindwa kung'amua mambo madogo kama haya binafs nakuwa na wasiwawas na erim zao, zanzibar ina kila kitu chake kasoro ni fedha tu!Sasa pana muungano gani hapa?