serikali 3...
sababu: muundo uliopo hautekelezeki bila kubadili mkanganyiko uliopo kwenye katiba ya znz ki2 ambacho hakiwezi
kutokea..
pia serikali 3 inatoa dira ya kutekelezeka ya sera ya transparency ki2 ambacho hatukishuhudii kwa miaka 50.
mwisho, kuna kaudikteta kutaka kuweka kando mapendekezo ya tume na kuingiza mawazo ya watu wachache...
na kuna dishonesty iliyo dhahiri kwa ofisi kubwa za serikali kujipinga wenyewe.... all in yote wananchi wataamua mwisho wacku
sababu: muundo uliopo hautekelezeki bila kubadili mkanganyiko uliopo kwenye katiba ya znz ki2 ambacho hakiwezi
kutokea..
pia serikali 3 inatoa dira ya kutekelezeka ya sera ya transparency ki2 ambacho hatukishuhudii kwa miaka 50.
mwisho, kuna kaudikteta kutaka kuweka kando mapendekezo ya tume na kuingiza mawazo ya watu wachache...
na kuna dishonesty iliyo dhahiri kwa ofisi kubwa za serikali kujipinga wenyewe.... all in yote wananchi wataamua mwisho wacku