rasimu ya katiba imeankisha vema sana. Lakini sisi tunanyonywa na zanzibar kwa kuwa na serikali yao ndani ya muungano. Vijimbo vyao kama mtaa wa mateka na vinawabunge wawili. Wakati sisi jimbo moja linavijiji 62, can you imagine na mgao wa pesa ya jimbo ni sawa.kwanini 3 na isiwe mbili?toa hoja ya msingi.
Mkuu kipindi kile kilikuwa cha udekteta lakini udekteta wake siyo wa mauwaji ni wa mnyonge yaani kulia anauma na kushoto anapuliza na akitamka jambo lolote basi huwa kuun fa yakun na na ukimpinga tuu basi siku hiyo hiyo tena mida ya alfajiri unapotea sasa hapo utatia neno na matunda ya nyerere ndio haya sasa kwa kuifanya zanzibar kuwa koloni la tangayika na wakati ule unguja walikuwa kwenye usingizi wa pono sasa wameamka na hataki tena kutawaliwa na mafisadi wa tanganyika na washajua rasimu ya katiba kina kipengere cha 6 na 1 0 kinatamka hivi munguja yoyote akitaka kuwowa mke basi itamlazimu kwenda dodoma kuchukuwa shahada ya ndoa na sasa wanaona kama ni koloni la sahara ya magaharibi kutawaliwa na muroko