Muungano wa Marekani hauna Kero za muungano wala Wizara ya muungano hata Ada za muungano hulipwa kwa wakati si Kama Zenji wamekwepa Ada ya muungano kwa miaka 47, Zile nchi ndogo ndogo hazifugi watu kwa kuzitegemea Nchi kubwa , kila Nchi inajielewa haina Utegemezi wa Makusudi Kama Zenji inavyomchuna Buzz Tanganyika , muungano wao upo kisayansi sana , Ukabila,Udini, na Uchoyo wa Ardhi na mafuta. ni mwiko , hawana wajanja wajanja wanafuja pesa za muungano ! Tujifunze kwao Rais awe mmoja tu.