Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

Muundo upi wa Muungano unafaa?

  • Serikali 1

    Votes: 81 23.3%
  • Serikali 2

    Votes: 22 6.3%
  • Serikali 3

    Votes: 241 69.5%
  • Sijui

    Votes: 3 0.9%

  • Total voters
    347
  • Poll closed .
Ningewaomba mods baada ya sired hii kufika ukingoni kutuwekea sired nyengine itakayo toa option if raia wa hapa wengi wao wametaka serikali tatu na serikali tatu kwa mchakato unavyoendea kule bmk haziwezekani!

Jee ikishindikana serikali tatu ni bora
1 kuvunja muungano?
2 kuendelea na serikali 2?
3 Or serikali moja?
...
In short, what is your second option if serikali 3 zikishindikana?
 


Which is which?
Mbona mnaongelea ushabiki wadau?
 
je wanaodai kuwa sie tushakuwa ndugu wa damu wako tayari kwa selikali moja???kama hawako tayari baada ya miaka hamsini solution ni selikali tatu....kama wazanzibari wanaithamini sana nchi yao kiasi cha kutokuwa tayari kuungana na kuwa nchi moja,basi watanganyika nao wanapaswa kuithamini nchi yao mama(tanganyika)na sisi sote tukutane kwenye muungano....ina maana wazanzibari wanauchungu na nchi yao kuliko watanganyika???lazima hapa kuna jambo ambalo viongozi wa ccm wanatuficha na sio sahihi kwa vile huu ni muungano wa wananchi na sio wa ccm...
 
!
!
aaaah mbili tu zinazingua, bora iwe moja ila kama haiwezekani basi ziwe tatu au kama zikibaki mbili basi ziwe ya tanganyka na ya muungano

Hahahahahaaa!
Sasa mkuu kama 2 zinazingua kiasi cha kupendekeza 1, jee hizo 3 hazitozingua zaidi?
Tiririka mkuu!
!
!
 
Muungano uishe bora zaidi. Uzushi utakufa kila nchi iende kivyake.
 
bado hoja ya serekali tatu imekaa kisiasa zaidi. haina msingi na hoja madhubutu. inaonekana kujengwa kishabiki zaidi. angalieni uhalisia wa hali ya nchi yetu alaf ndo mfikirie kuleta serekali ya 3. 2 zinatushinda io yatatu itatuzika kabisa. nasisitiza uzalendo na umakini na nchi yetu. serekali inatakiwa ipungue ibaki moja ambayo tunaweza kujitahidi kuimudu. serekali zaidi ya moja ni majanga kwa watanzania.
 
Muungano ni wa serikali moja kama wanavyo dai wajumbe wa ccm kuwa 3 zinagharama na mbili hivyo hivyo zinagharama serikali 1 itaondoa gharama zote za serikali ya SMZ Kwa ujumla kuanzia Rais wote 3 wa znz itakuwa hakuna Bara la wawakilishi itaondoa vikosi vya ulinzi vya smz kwa ujumla tutapunguza gharama kubwa za matumizi tukiwa na serikali 1.
Na hili litawezekana kirahisi kwa kuwa wzanzibari wengi wanaasili na Tanganyika kiundugu na kifamilia.pia serikali 1 itawahakikishia wazanzibari kuishi salama bila hofu ya kurejea kwa SULTANI JEMSHED/ waarabu.
Mm sioni mantiki ya wajumbe wa Bunge la katiba wa ccm kusimamia serikali mbili wakijinasibu kuwa wao ni wznz wenye kutokea Tanganyika halafu bado wanajenga hoja ya serikali 2 badala ya 1.
Nivyema sasa wana ccm znz kujenga hoja ya serikali 1 kwa sababu nilizo zianisha.
 
Huu muungano feki kati ya kata Zanzibar na nchi ya Tanganyika uvunjike tu kama wao kata hawataki serikali moja na sisi nchi kwa maana Tanganyika hatutaki mbili kwa kuwa Tanganyika haitaonekana.
NAUVUNJIKE!
 
tumechoka na unafiki wa ccm wa serikali mbili,pia tunasikitika mnadai eti tunaotaka serikali tatu tuko wachache?je wanaccm mliobungeni mnapata wapi mamlaka ya kutuamlia serikali mbili wananchi milioni 45?.hatutaki unafiki wenu.mlipouza nchi kwa vyandarua tulinyamaza,gesi mkapeleka msoga tukanyamaza,hela za EPA MKALA tukanyamaza,mkabaka na kuambukiza watoto wetu h.i.v tukanyamaza,wake zetu mkawakosovo igunga tukanyamaza,mgao wa umeme tumenyamaza,mafuta yamepanda tumenyamaza,kura mkaiba 2010 tukavumilia,Shilembi wa shinyanga mkamnyang'anya ubunge wake tukanyamaza,mkaahidi ujenzi wa hospital ya Kwangwa musoma tukanyamaza,reli ya moshi hadi mara mliahidi tukanyamaza,meli mpya ziwa victoria mliahidi tukavumilia,hospital za rufaa kila mkoa mliahidi tukanyamaza,ajira milioni moja tumenyamza,mkaenda mbali zaidi mkaahidi maisha bora toka 2005 hata bila chembe ya aibu tukanyamaza,mkawanunua madiwani wa chadema na wengine mkawafukuza madiwani wa chadema Ilemela bila kosa tukanyamaza.tumechoka hatuogopi kitu MPANGO MZIMA NI SERIKALI TATU,UTAIFA KWANZA UNAFIKI BAADAE.
 

selikali mbili zimeshindwa kutuhakikishia vitu hivyo, wizi,uongo ,utapeli, ufisadi ulio kubuhu ni mazao ya selikali 2!
 
selikali mbili zimeshindwa kutuhakikishia vitu hivyo, wizi,uongo ,utapeli, ufisadi ulio kubuhu ni mazao ya selikali 2!

Je,wadhani serikali mbili ndiyo tatizo hapo? Upande wangu nadhani tatizo ni viongozi wetu wasiojielewa,wanaovunja katiba,wanajilimbikizia mali,walafi wa madaraka na wezi wa mali za umma,hawa ndiyo matatizo.Wanaoongeza matatizo ni baadhi ya Mahakimu na majudge wetu ambao wengi wao wako busy kutafuta posho kuliko kufanya kazi waliyosomea kwa uadilifu.
 
Mimi naona 3 ndio mpango mzima sina chakuongeza mengi yameshasemwa na wenzangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…