Muungano wa Marekani hauna Kero za muungano wala Wizara ya muungano hata Ada za muungano hulipwa kwa wakati si Kama Zenji wamekwepa Ada ya muungano kwa miaka 47, Zile nchi ndogo ndogo hazifugi watu kwa kuzitegemea Nchi kubwa , kila Nchi inajielewa haina Utegemezi wa Makusudi Kama Zenji inavyomchuna Buzz Tanganyika , muungano wao upo kisayansi sana , Ukabila,Udini, na Uchoyo wa Ardhi na mafuta. ni mwiko , hawana wajanja wajanja wanafuja pesa za muungano ! Tujifunze kwao Rais awe mmoja tu.
Mkuu kipindi kile kilikuwa cha udekteta lakini udekteta wake siyo wa mauwaji ni wa mnyonge yaani kulia anauma na kushoto anapuliza na akitamka jambo lolote basi huwa kuun fa yakun na na ukimpinga tuu basi siku hiyo hiyo tena mida ya alfajiri unapotea sasa hapo utatia neno na matunda ya nyerere ndio haya sasa kwa kuifanya zanzibar kuwa koloni la tangayika na wakati ule unguja walikuwa kwenye usingizi wa pono sasa wameamka na hataki tena kutawaliwa na mafisadi wa tanganyika na washajua rasimu ya katiba kina kipengere cha 6 na 1 0 kinatamka hivi munguja yoyote akitaka kuwowa mke basi itamlazimu kwenda dodoma kuchukuwa shahada ya ndoa na sasa wanaona kama ni koloni la sahara ya magaharibi kutawaliwa na muroko
Kwanini moja?
!
!
!
!
aaaah mbili tu zinazingua, bora iwe moja ila kama haiwezekani basi ziwe tatu au kama zikibaki mbili basi ziwe ya tanganyka na ya muungano
Muungano ni marithiano kati ya mataifa au nchi mbili zenye tamaduni zinazoshabihiana.Na muungano unatakiwa uwe na haki kwa pande zote mbili kusiwe na mmoja kuchukua madaraka ya mwingine.
Sidhani kama wananchi kwa hakika wanajali serikali mbili,moja au tatu,nadhani wananchi tunahitaji maendeleo na uchumi uliokua siyo kwenye makaratasi bali uonekane kwenye jamii ya watanzania.
Wananchi wanachukizwa na viongozi walioko madarakani ambao wako very busy kujilimbikizia mali,kuuza raslimali za taifa,maliasili zetu ,matumizi mabaya ya fedha za umma,hakuna uwajibikaji,uadilifu wala uwazi.Rushwa ndiyo imekuwa haki siku hizi,hauwezi kupata haki yako kisheria,afya,elimu na hata ajira bila kutoa rushwa.
Ufisadi umefika mahala pake kiasi kwamba ufisadi umekuwa haki badala ya dhambi,madawa ya kulevya ndiyo usiseme,sasa haya ndiyo yaliyotakiwa kuundiwa tume kujadiliwa ni namna gani viongozi au wafanyabiashara au wafanyakazi kwenye sekata za umma wanaweza kuwajibishwa ili kurejesha maendeleo na hadhi ya utaifa.
Ninauhakika haya ndiyo wananchi tunayoyahitaji na si serikali mbili au tatu.
selikali mbili zimeshindwa kutuhakikishia vitu hivyo, wizi,uongo ,utapeli, ufisadi ulio kubuhu ni mazao ya selikali 2!