Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,346
Ningewaomba mods baada ya sired hii kufika ukingoni kutuwekea sired nyengine itakayo toa option if raia wa hapa wengi wao wametaka serikali tatu na serikali tatu kwa mchakato unavyoendea kule bmk haziwezekani!
Jee ikishindikana serikali tatu ni bora
1 kuvunja muungano?
2 kuendelea na serikali 2?
3 Or serikali moja?
...
In short, what is your second option if serikali 3 zikishindikana?
Jee ikishindikana serikali tatu ni bora
1 kuvunja muungano?
2 kuendelea na serikali 2?
3 Or serikali moja?
...
In short, what is your second option if serikali 3 zikishindikana?