mkulu tuna mifumo mibovu ukiwemo na muundo wa selikali, hao ma judge/mahakimu nani kawaajiri? nani anawalipa mishahara?wanafanya kazi kwenye ofisi za nani? tunahitaji mfumo wa uongozi utakaosimamia hayo, huu mfumo tulionao umeshindwa!Je,wadhani serikali mbili ndiyo tatizo hapo? Upande wangu nadhani tatizo ni viongozi wetu wasiojielewa,wanaovunja katiba,wanajilimbikizia mali,walafi wa madaraka na wezi wa mali za umma,hawa ndiyo matatizo.Wanaoongeza matatizo ni baadhi ya Mahakimu na majudge wetu ambao wengi wao wako busy kutafuta posho kuliko kufanya kazi waliyosomea kwa uadilifu.
bado hoja ya serekali tatu imekaa kisiasa zaidi. haina msingi na hoja madhubutu. inaonekana kujengwa kishabiki zaidi. angalieni uhalisia wa hali ya nchi yetu alaf ndo mfikirie kuleta serekali ya 3. 2 zinatushinda io yatatu itatuzika kabisa. nasisitiza uzalendo na umakini na nchi yetu. serekali inatakiwa ipungue ibaki moja ambayo tunaweza kujitahidi kuimudu. serekali zaidi ya moja ni majanga kwa watanzania.
Ndugu Admin naomba unisupport na hii post yangu, nataka kuangalia tu, wangapi wanapenda
A) Selikali Tatu kumaanisha Tanganyika, Zanzibar na Selikali kuu yaani Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania.
B) Selikali Mbili yaani Ya Mapinduzi ya Zanzibar na Selikali Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania.
C) Selikali Moja, yaani Selikali ya Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania.
D) Ama Selikali mbili yaani Selikali ya Tanganyika na Selikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
Pia Weka na Sababu zako ziki critisize selikali zingine kwa kuonesha Faisa na hasara ya selikali hizo unazo zipinga, ili na sisi tujue faida na hasara za aina fulani ya Muungano na kwanini tuupende Muundo wa selikali hiyo utakayo ichagua.
Pia tuweze kufahamu kinacho fichika kati ya UKAWA na Wanao isupport Selikali ya sasa yaani CCM.
Kinadharia ningependelea serikali moja, ila kutokana na hali halisi iliyopo sasa hivi, serikali tatu ndio suluhusho na hiyo inawezekana kutekelezeka.
Mimi sina Shida na idadi ya Serikali Kama Kweli Serikali hizo....
1. Zitadumisha Muungano.
2. Zitapunguza mzigo wa uendeshaji na ustawi aw jamii
3. Zitaleta Umoja, Amani, utulivu na Mshikamano tuliokuwa nao
Naunga mkono Serikali mbili kwa sababu siwaamini viongozi wanaopigania Serikali tatu. Mimi niko Zanzibar Najua CUF mtazamo wao wa awali ulikuwa ni Serikali ya MKATABA.... Walipofika bungeni wakaungani na CUF kudai Serikali tatu. Ulishawahi kusikia Watoto wanauliza Cheti cha Ndoa cha wazazi wao? Halafu wana onyesha wanasema sahihinsiyo zenyewe.... Kwa nini? Hawa wote Muungano kwao ni kero... CHADEMA kwenye sera Yao wanataka MAJIMBO...Sasa MKATABA + MAJIMBO = ???????? Ndani ya CHADEMA yenyewe unaona hata kabla hawajatawala Hali ya UMAJIMBO inaonekana.... Yuko wapi ZITO KABWE? Vyama Vya Upinzani vingi tutake tusitake ni Kama taasisi za Watu binafsi.... Hakuna demokrasia ndani ya vyama Hivyo.... Bungeni wakekimbia... Mtaniambia wanatetea maoni ya wengi... Wengi wangapi? Kama mko wengi si mngoje Kura ya maoni? Kama mna uhakika mtashinda kwenye Kura ya maoni.... Mbona mmeweka Mpira kwapani?
Nadhan kila moja hapo lina faida zake na hasara zake.kwa akil zangu za kijinga me nadhan s1 n bora zaid sababu utakuwa n muungano wa kwel.kwa ukiangalia tushaingiliana kiundugu nk miaka mingi hzo serikal mbil au tatu c muungano tunaraka taifa moja bendera moja rais moja.ikishindikana bas vyovyote itakavyo kuwa sawa mrad tu utaifa uwe mbele
Mimi sina Shida na idadi ya Serikali Kama Kweli Serikali hizo....
1. Zitadumisha Muungano.
2. Zitapunguza mzigo wa uendeshaji na ustawi aw jamii
3. Zitaleta Umoja, Amani, utulivu na Mshikamano tuliokuwa nao
Naunga mkono Serikali mbili kwa sababu siwaamini viongozi wanaopigania Serikali tatu. Mimi niko Zanzibar Najua [SUB]
[/SUB]. Ulishawahi kusikia Watoto wanauliza Cheti cha Ndoa cha wazazi wao? Halafu wana onyesha wanasema sahihinsiyo zenyewe.... Kwa nini? Hawa wote Muungano kwao ni kero... CHADEMA kwenye sera Yao wanataka MAJIMBO...Sasa MKATABA + MAJIMBO = ???????? Ndani ya CHADEMA yenyewe unaona hata kabla hawajatawala Hali ya UMAJIMBO inaonekana.... Yuko wapi ZITO KABWE? Vyama Vya Upinzani vingi tutake tusitake ni Kama taasisi za Watu binafsi.... Hakuna demokrasia ndani ya vyama Hivyo.... Bungeni wakekimbia... Mtaniambia wanatetea maoni ya wengi... Wengi wangapi? Kama mko wengi si mngoje Kura ya maoni? Kama mna uhakika mtashinda kwenye Kura ya maoni.... Mbona mmeweka Mpira kwapani?
kuimarisha muungano ni kwa srikali tatu. yaani:
1. SERIKALI YA MUUNGANO. NDIO ITAKUWA NA RAIS WA NCHI
2. SERIKALI YA TANGANYIKA ITAONGOZWA NA MAKAMU/AU WAZIRI MKUU BARA NA NDIE ATAKUWA MKUU WA HIYO SERIKALI
3.SERIKALI YA ZANZIBAR ITAONGOZWA NA MAKAMU/AU WAZIRI MKUU ZANZIBAR NA NDIE ATAKUWA MKUU WA HIYO SERIKALI, HAWA WOTE WATAWAJIBIKA KWA RAIS AMBAE NDIE MKUU WA NCHI.
KAMA HUTAKI HIVI BASI KAVUNJE MUUNGANO WAKO NA HIYO SERIKALI 2.
Muungano utakaodumu ni wa Serikali 2 tu, basi! Huo wa "Serikali 3/Nchi 3" utakuwa legelege, tegemezi na egemezi!
acheni upuuzi kwani muundo wa serikali2 ndo unaoifanya ccm ibaki madarakani?........,ukawa wehu tukama wehu wa majalalani na bado mmeshindwa kuwashawishi wananchi wawape nchi mmeona mkimbilie kwenye muungano na mtakufa vibudu hatuwapi nchi vichaa kiufupi imekula kwenu
l