Ndugu Admin naomba unisupport na hii post yangu, nataka kuangalia tu, wangapi wanapenda
A) Selikali Tatu kumaanisha Tanganyika, Zanzibar na Selikali kuu yaani Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania.
B) Selikali Mbili yaani Ya Mapinduzi ya Zanzibar na Selikali Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania.
C) Selikali Moja, yaani Selikali ya Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania.
D) Ama Selikali mbili yaani Selikali ya Tanganyika na Selikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
Pia Weka na Sababu zako ziki critisize selikali zingine kwa kuonesha Faisa na hasara ya selikali hizo unazo zipinga, ili na sisi tujue faida na hasara za aina fulani ya Muungano na kwanini tuupende Muundo wa selikali hiyo utakayo ichagua.
Pia tuweze kufahamu kinacho fichika kati ya UKAWA na Wanao isupport Selikali ya sasa yaani CCM.