gunga yenna
Member
- Apr 11, 2019
- 90
- 25
Kavalishwa vazi hilo kwa madhumuni ya kudhalilisha Ukristo Wala sio kasisi ni msenge hiyo ni njia ya kuumaliza Ukatoliki Marekani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kavalishwa vazi hilo kwa madhumuni ya kudhalilisha Ukristo Wala sio kasisi ni msenge hiyo ni njia ya kuumaliza Ukatoliki Marekani.
Kavalishwa vazi hilo kwa madhumuni ya kudhalilisha Ukristo Wala sio kasisi ni msenge hiyo ni njia ya kuumaliza Ukatoliki Marekani.
Anaitwa Padre nani Gavana au ni Cardinal huyo. Tupe taarifa kamili.Hiyo sio Marekani ni Europe tena ni Vatican
Huyo alikuwa anawaandikia sheria za Kanisa Katoliki , kapata Bwana https://amp.theguardian.com/world/2...tican-ties-sacked-for-being-gay?usqp=mq331AQA
Anaitwa Padre nani Gavana au ni Cardinal huyo. Tupe taarifa kamili.
Anaitwa Padre nani Gavana au ni Cardinal huyo. Tupe taarifa kamili.
Ni taabu sana inasikitisha sana, nitarejea kwa Babu zangu walichokiamini. Nashukuru Gavana.Uligonga hiyo link ??
https://amp.theguardian.com/world/2...tican-ties-sacked-for-being-gay?usqp=mq331AQA
utamwona hapo
au nikuwekee na mabibi wengine wa vatican ??
GONGA HAPA : https://www.dailymail.co.uk/news/ar...priests-gay-according-explosive-new-book.html
Daah kweli... Sema pole mkuunime kuelewa sana mkuu.....
Muundo upi wa Muungano unafaa?
Muungano Mzuri ni Serikali.1 kama sivyo serikali.3!Muundo sahihi na wenye tija kwa walio wengi ni 2 (Tanganyika na Zanzibar), mashirikiano ni kwa kupitia East African community. Sio kama sipendi muungano au namchukia mtu wa bara, huo ndio ukweli halisi muungano huu ni wa kisiasa na hauna tija yoyote ya kiuchumi.
Alie na sababu za kiuchumi anieleze kuna faida gani ya kuwa na muungano wa Tanganyika na Zanzibar, wakati kuna jumuiya ya afrika mashariki with better arrangement ? What a waste of time and resources, Vugu vugu la africanism, really ... wtf ? 😎
Mzuri ukimaanisha nini ? Uchumi au siasa ?Muungano Mzuri ni Serikali.1 kama sivyo serikali.3!