Japokuwa namheshimu sana Nyerere na natambua mchango wake kwenye Taifa hili; Yeye ndiye katuachia confusion yote hii.
Mimi nadhani Nyerere pia hakua tayari kuingia vyma vingi bali kwakujua yatakayotokea mbele ya safari alitu pre-empt na kutuanzishia vyama vinavyo fanana na upinzani lakini si vya upinzani in their operation.
Sasa ndiyo tunatafuta vyama vya upinzani kweli na demokrasia ya vyama vingi.
Well angekuwepo angetupa sababu ya kutuingiza kwenye hii confusion pengine nia ilikuwa njema labda alitaka guided demokrasia.....Hii ni labda lakini kwa macho yangu yaliyojaa maruweruwe basi successors wake ama hawakumwelewa na hivyo kawaacha wahawajui vision yake au hawakuwa pamoja naye tangu mwanzo.
Kimoja tu ni kuwa we are in a deep confusion; shukrani kwa incubent president amekuwa accomodative!