ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,340
- 4,086
He! Ndiyo wamesema hivyo ccm? Kweli sasa nina shaka na upeo wao wa akili duh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He! Ndiyo wamesema hivyo ccm? Kweli sasa nina shaka na upeo wao wa akili duh.
- Kaka JF huwa hatunadiki habari ndefu namna unless uwe umetumwa tu na SErikali ya UKAWA, hamna wa kusoma kitabu hapa kwa kawaida hapa unatoa hoja haraka na kwa ufupin sana nyie UKAWA mmefilisika kweli!!
Le Mutuz System
Hio umesema wewe! Na km we ni mvivu wa kusoma basi waachie wengine wafyonze elimu.
Unless unapendelea mashairi. Ukitaka kufahamu lzm uwe na bidii kidogo ya kujifunza kwa utulivu.
Sasa wakuu mnajibu hoja za mleta hoja au mnajibu aliyeshauri habari ifupishwe ?
Anyway mkuu mleta mada jaribu kuweka habari yako vizuri isomeke mpaka mwisho sio kuingia mstari mwingine kila baada ya maneno matano, vilevile kama unaweza ku-summarize itakuwa bora zaidi (kama haiwezekani poa tu wahusika watasoma)
Kila kukicha utasikia wale wachache waking'ang'ana eti Serikali tatu na Utanganyika eti kupatikana kwa mambo haya ni suluhisho tosha kwa kero za Muungano. Sababu kuu eti tume zilizotangulia ziliongelea Serikali tatu, Jamani, mawazo kama haya hata wa ngumbalu au memkwa hawezi kuyaunga mkono. Hebu angalia haya mambo machache;
1: Tanganyika na Zanzibar zikiwa nchi kamili, je, Mkataba yote iliyoingiwa na Tanzania ya dhahabu, Tanzanite, Almas,gas, Uranium, Power Afrika, itakuwa chini ya nchi gani ikizingatiwa kuwa serikali ya shirikisho haitakuwa na Ardhi? Serikali ya Tanganyika raia wake watapatikanaje? Je, nani atawapa uraia wa Tanganyika? chini ya sheria uliyotungwa na bunge gani? Jamani tusipelekeshane kihivyo.
Kila kukicha utasikia wale wachache waking'ang'ana eti Serikali tatu na Utanganyika eti kupatikana kwa mambo haya ni suluhisho tosha kwa kero za Muungano. Sababu kuu eti tume zilizotangulia ziliongelea Serikali tatu, Jamani, mawazo kama haya hata wa ngumbalu au memkwa hawezi kuyaunga mkono. Hebu angalia haya mambo machache;
1: Tanganyika na Zanzibar zikiwa nchi kamili, je, Mkataba yote iliyoingiwa na Tanzania ya dhahabu, Tanzanite, Almas,gas, Uranium, Power Afrika, itakuwa chini ya nchi gani ikizingatiwa kuwa serikali ya shirikisho haitakuwa na Ardhi? Serikali ya Tanganyika raia wake watapatikanaje? Je, nani atawapa uraia wa Tanganyika? chini ya sheria uliyotungwa na bunge gani? Jamani tusipelekeshane kihivyo.
Kila kukicha utasikia wale wachache waking'ang'ana eti Serikali tatu na Utanganyika eti kupatikana kwa mambo haya ni suluhisho tosha kwa kero za Muungano. Sababu kuu eti tume zilizotangulia ziliongelea Serikali tatu, Jamani, mawazo kama haya hata wa ngumbalu au memkwa hawezi kuyaunga mkono. Hebu angalia haya mambo machache;
1: Tanganyika na Zanzibar zikiwa nchi kamili, je, Mkataba yote iliyoingiwa na Tanzania ya dhahabu, Tanzanite, Almas,gas, Uranium, Power Afrika, itakuwa chini ya nchi gani ikizingatiwa kuwa serikali ya shirikisho haitakuwa na Ardhi? Serikali ya Tanganyika raia wake watapatikanaje? Je, nani atawapa uraia wa Tanganyika? chini ya sheria uliyotungwa na bunge gani? Jamani tusipelekeshane kihivyo.
BuchananSerikali 2 ndo mpango mzima! Tukiendekeza 3 Serikali ya Muungano itakuwa haina hata ardhi (ardhi si suala la Muungano) na itakuwa ombaomba kwa nchi washirika kwa kuwa haina vyanzo vya mapato vya kwake!
Ndugu yangu, Wahenga walisema kwamba "Bila utafiti huna haki wala ruhusa ya kusema chochote".
"No Research no Right to speak" Yaani unataka kunambia kwamba wewe unaweza kujilinganisha na nguli wajumbe wa tume ya Katiba, ambao hawana tuhuma yoyote? " Kumbe ni kweli walivyosema kwamba la kuvunda halina ubani.