Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama sio mnyonge sasa mbona umeshapngiwa kodi sasa!Dah unaforce tujiite wanyonge🤣🤣,
Iondolewe haina faida kwa MTU wa kawaidaTupige kura ili kujua WaTAnzania tunataka nini kuhusu kodi hii mpya ya miamala
Iongezwe mara kenda ili wananchi waki exprience ugumu wa maisha wawe na hasira kali za kuitoa serikali madarakani kinguvuTupige kura ili kujua WaTAnzania tunataka nini kuhusu kodi hii mpya ya miamala
Kwanza tuambie manufaa ya kura zetu ni yapi,kama kura za chaguzi Rasmi zimepoteza maana,je hii inakuwa na msaada gani.?Tupige kura ili kujua WaTAnzania tunataka nini kuhusu kodi hii mpya ya miamala
Mtu wa kawaida unamaanisha mnyonge?Iondolewe haina faida kwa MTU wa kawaida
Haiwezekani ukituma pesa mitandao ya simu inachukua kingi kuliko serikali,bora iongezwe hadi izidi wanachokata kampuni za simuWaongeze ifike nunu kwa nusu na salio
Nusu kwa nusu mkuu itaongeza uzalendo mtumiwaji 50% serekali 50%Haiwezekani ukituma pesa mitandao ya simu inachukua kingi kuliko serikali,bora iongezwe hadi izidi wanachokata kampuni za simu