Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Samia & Co wote wasengerema tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani mlipaji sasa bwe?:Haiwezekani ukituma pesa mitandao ya simu inachukua kingi kuliko serikali,bora iongezwe hadi izidi wanachokata kampuni za simu
Rais sio sawa na baba yako,unaweza jutia hii kauliSamia & Co wote wasengerema tu
mkuu hili nalo ni la kupigia kura? au na wee umeshashiba makande unawajaribu watu?, kwani wee hujui hili swala ni uhaini na uzandiki mtupu? hawakupaswa kugusa miamala hata kidogoTupige kura ili kujua WaTAnzania tunataka nini kuhusu kodi hii mpya ya miamala
Kwahyo Ni sawa na mungu?Rais sio sawa na baba yako,unaweza jutia hii kauli
Mkuu mbona kipengere kinasema IONDOLEWE KABISA?Mimi kura yangu hapo haipo, sababu nataka ifutwe kabisa na hujaweka hicho kipengele
Unamtusi Rais afu unajitia kiburi? Watakuja kukusahau huko kwenu, endelea seems mnatumia vibaya uhuruKwahyo Ni sawa na mungu?
Hiyo kauli ina kosa gani la kujutia?
Mkarimani wa matusi haya niambie Tusi lipo wapi hapo?Unamtusi Rais afu unajitia kiburi? Watakuja kukusahau huko kwenu, endelea seems mnatumia vibaya uhuru
Unakuza mambo wewe!Rais sio sawa na baba yako,unaweza jutia hii kauli
Maelezo ya Waziri wa Michezo uliyaelewa?Maelezo ya Waziri wa Fedha umeyaelewa?