Kura ya maoni, Ukawa wavutana Dar

Wala,haya maneno ya MTANDAONI tu.Huko kijijini kwa sasa KAMPENI ni moja tu KAJIANDIKISHE,tukimaliza hilo zoezi tunakuja na KAMPENI nyingine 2015 NO VOTE TO CCM

Mbio za Baharini huishia deep sea!mwaka huu mtakunywa sana maji ya chumvi ndoa yenu ya UKAWA msimamizi MALEMA LAZIMA IPASUKE KABLA YA OKTOBA 2015.
 

UKAWA ni sawa na WACHEZA KAMALI HAKUNA hakuna muda wa kupoteza kuwapigia kura hawa kama ilivyochanika bendera ya moja ya washirika wa UPAWA ndo watakavyochanika baada ya Oktoba 2015 View attachment 254453
 
Hizi ni changamoto za kawaida tuu ndani ya UKAWA .ccm mnafurahia ya UKAWA wakati kwenu hali ndo mbaya zaidi kuliko UKAWA.

Kuna mchangiaji kasema sumu ya panya inawatafuna na wewe umekubali kumbe wamekula Sumu ya panya mende nyenyere ya kuchora na panya ya kukausha!Poleni na siasa taka manazoendelea nazo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…