Kura ya maoni, Ukawa wavutana Dar

Kura ya maoni, Ukawa wavutana Dar

Hivyo viungo vyote ulivyovitaja najua unavyo na ndo vinakusaidia kufika Buguruni team aka UKAWA CAMP kuchukua jerojero nyie tutawazika rasmi kabla ya oktoba 2015 kupata wagombea wa majimbo 12 na nafasi ya urais kati ya hawa chek hapa chni acha kelele!!!!View attachment 254209ukishaangalia chagua nani anakufaa teh teh tehView attachment 254211

Kwa kukushauri naona HOTUBA ya Mwenyekiti imewafanya M-loose control ya ubongo wenu.Any way....pole sana ila FYI 2015 VOTE FOR UKAWA:whoo::whoo::whoo:
 
Kwa kukushauri naona HOTUBA ya Mwenyekiti imewafanya M-loose control ya ubongo wenu.Any way....pole sana ila FYI 2015 VOTE FOR UKAWA:whoo::whoo::whoo:
Wewe sifuri tuuu huna jipya hapa
image.jpg
 
You are just like her...........:majani7::majani7:Bwana ni shida kabisa:hatari::hatari:
Mchumia tumbo wewe wa Ukawa huna lolote njaa itakuua kijana umekuwa kama mfagio wa chooni
View attachment 254400 Kichwani hamna kitu uko kama kopo lisilo na kitu na linalopiga kelele tu, mcheki jamaa kapanda juu ya kichwa chako kachungulia kaona hamna kitu ndo manaa unapost ujinga ujinga
 
Mchumia tumbo wewe wa Ukawa huna lolote njaa itakuua kijana umekuwa kama mfagio wa chooni
View attachment 254400 Kichwani hamna kitu uko kama kopo lisilo na kitu na linalopiga kelele tu, mcheki jamaa kapanda juu ya kichwa chako kachungulia kaona hamna kitu ndo manaa unapost ujinga ujinga

Check JEZI yake rangi gani.........Then soma signature yangu halafu ACHA:majani7::majani7:Zina kuharibu UBONGO...........TOPIC :closed_2: :rip:CCM
 
Check JEZI yake rangi gani.........Then soma signature yangu halafu ACHA:majani7::majani7:Zina kuharibu UBONGO...........TOPIC :closed_2: :rip:CCM

UKIWA MSEMAJI WA UKAWA TUNATAKA MAJIBU KURA MAONI YA MAJIMBO HAYA 1. Segerea 2 Temeke 3 Ukonga 4 Ilala 5Ilala 6.Kinondoni 7.Kigamboni 8. Serengeti 9.Mafia 10.Morogoro mjini 11.Kilosa 12.Mtwara mjini 13.Vunjo ambalo sasa mmemuachia Mbatia akapambane na Mrema.
 
UKIWA MSEMAJI WA UKAWA TUNATAKA MAJIBU KURA MAONI YA MAJIMBO HAYA 1. Segerea 2 Temeke 3 Ukonga 4 Ilala 5Ilala 6.Kinondoni 7.Kigamboni 8. Serengeti 9.Mafia 10.Morogoro mjini 11.Kilosa 12.Mtwara mjini 13.Vunjo ambalo sasa mmemuachia Mbatia akapambane na Mrema.

Unaweza kutupa kwanza Mgombea wenu wa MAGAMBA?Uko busy na kuzima moto nyumba ya jirani kwako huku kumekwisha kabisa.Moto umeteketeza kila kitu.Pole:hatari::hatari:
 
kwa kukushauri naona hotuba ya mwenyekiti imewafanya m-loose control ya ubongo wenu.any way....pole sana ila fyi 2015 vote for ukawa:whoo::whoo::whoo:

teh teh teh umesema hotuba ya mwenyekiti na kuielewa kumbe unamtambua safi sana kijana,check picha chini hapo hawa wachumia tumbo walivyopaniana kwa uchu wa madaraka teh teh teh View attachment 254415
 
Unaweza kutupa kwanza Mgombea wenu wa MAGAMBA?Uko busy na kuzima moto nyumba ya jirani kwako huku kumekwisha kabisa.Moto umeteketeza kila kitu.Pole:hatari::hatari:
Mama tetty mchumia tumbo!
image.jpg
 
Unaweza kutupa kwanza Mgombea wenu wa MAGAMBA?Uko busy na kuzima moto nyumba ya jirani kwako huku kumekwisha kabisa.Moto umeteketeza kila kitu.Pole:hatari::hatari:

Mwaka huu mnazikwa rasmi na ndoa yenu iliyounganishwa na MALEMA,DJ MAMBOWE na GAte keeper Dogo janja,Featuring Suguuu hakuna kitu hapo!!!muulize dogo janja kama keshauza gari lake!!!!
 
teh teh teh umesema hotuba ya mwenyekiti na kuielewa kumbe unamtambua safi sana kijana,check picha chini hapo hawa wachumia tumbo walivyopaniana kwa uchu wa madaraka teh teh teh View attachment 254415

Huko kwenu karibia mtauana kisa URAHISI.mwaka huu mkitoka salama huko mumshukuru Mungu.Ila kabla haujanyoosha kidole kwa mwenzako jitahidi kuangalia vingapi vinarudi kwako.

Pili mngekuwa siyo waroho wa madara Magari 700 kwa polisi ya nini?Kuna vita October 2015?

Poor you...........:majani7::majani7::majani7: Zintawaumiza na CCM :A S 103::A S 103::A S 103:
 
Jay Milionea, unatumia nguvu nyingi sana juu ya Tetty, huyo ni mweupe kama ilivyo picha yako uliyoonesha hapo juu. Mwenye akili timamu huwezi kuwa mwanachama wa kikundi cha watu waliokusanyana.

Ni kweli lakini siyo kama kile kichokusanyana pale Dodomya kikikutana kuongelea na kumchagua aliyemahiri KUTOA PESA ili mradi tu apate URAHISI...Watanzania tunajiuliza kuna nini kule IKULU mpaka watu watoane macho,pesa zitembee utadhani kuna bank inamilikiwa na CCM.Duh yaani ni ATM za CCM kila mahali.

CCM=EBOLA kaa mbali nayo
 
Lowassa tu...wataenda....watarudi.....Lowassa tu.Na wasipomuweka huyu wamekwisha...wakimuweka pia wamekwisha....yaani hakuna kumeza wala kutema.
 
Huko kwenu karibia mtauana kisa URAHISI.mwaka huu mkitoka salama huko mumshukuru Mungu.Ila kabla haujanyoosha kidole kwa mwenzako jitahidi kuangalia vingapi vinarudi kwako.

Pili mngekuwa siyo waroho wa madara Magari 700 kwa polisi ya nini?Kuna vita October 2015?

Poor you...........:majani7::majani7::majani7: Zintawaumiza na CCM :A S 103::A S 103::A S 103:

Duuu kweli naoma kuna mchuano mkali kati ya wafuasi!!Matokeo yake mtapigwa mabomu nyie!!
 
Duuu kweli naoma kuna mchuano mkali kati ya wafuasi!!Matokeo yake mtapigwa mabomu nyie!!

Wala,haya maneno ya MTANDAONI tu.Huko kijijini kwa sasa KAMPENI ni moja tu KAJIANDIKISHE,tukimaliza hilo zoezi tunakuja na KAMPENI nyingine 2015 NO VOTE TO CCM
 
Back
Top Bottom