Kura ya SIRI na WAZI kurudishwa kwa Wajumbe tena kwa Maamuzi

Kura ya SIRI na WAZI kurudishwa kwa Wajumbe tena kwa Maamuzi

Wazo la kura ya wazi ni jema, lakini limeharibiwa na mazingira yaliyotengenezwa na kundi la baadhi ya wajumbe ili kukidhi haja zao. Kuondokana na madhumuni ya kundi moja lenye mikakati hasi bora ifanyike kura ya siri.
 
duh haya mambo huwa yanatokea tanzania tu, yaani kura ya cri itumike kuchagua kura ya wazi, ni -------- tu ndo anaweza kuwa na maamuzi ya kijinga kama haya

Kura ya siri kuamua jura ya siri au ya wazi, kwa kweli ni kichejesho. Unatakiwa iwekwe kwenye mtandao wa wikipedia matukio na vichekesho vyote vitakavyojiri, ili ukigoogle tu miaka ya mbele unaona mambo yalivyokuwa.
 
Ndivyo nilivyomsikia mwenyekiti wa kamati hiyo ya Siri na Uwazi katika taarifa ya habari akisema pande zote 2 zimetoa hoja za msingi na za kidemokrasia na kushindwa kutoa maamuzi na Usiri huo na Uwazi kurejeshwa tena kwa Wajumbe kwa maamuzi.,

Source: Chanal10

Katika nchi zote zilizo endelea kidemokrasia kura ya siri hutumika pale mtu anapokuwa na uamuzi binafsi tu kuamua jambo. Mambo yote yanayo husu masuala ya kitaifa kura ya wazi ndio hutumika. Tukumbuke, katiba ni suala la kitaifa si suala la mbunge kwa binafsi yake. Na yeye pale anawakilisha watu, na sio yupo pale kwa binafsi yake. Kura ya WAZI ndio ya haki na sio ya siri.
 

Katika nchi zote zilizo endelea kidemokrasia kura ya siri hutumika pale mtu anapokuwa na uamuzi binafsi tu kuamua jambo. Mambo yote yanayo husu masuala ya kitaifa kura ya wazi ndio hutumika. Tukumbuke, katiba ni suala la kitaifa si suala la mbunge kwa binafsi yake. Na yeye pale anawakilisha watu, na sio yupo pale kwa binafsi yake. Kura ya WAZI ndio ya haki na sio ya siri.

Ni kweli kama unavyosema lakini kwa ajenda yenu CCM ya Serikali mbili hiyo haitowezekana kwani mnataka kuwaburuta na kuwanyanyasa wazanzibari ambao baraza la wawakilishi wote kwa kauli moja walishakubaliana wakiwa huko Zenji tayari wao wameshaamua serikali tatu ndio muafaka wao...hivyo nyie CCM bara kupitia kura ya wazi mnataka kuwaadabisha wale wote ambao wanafikra tofauti pindi pale mtakapowatambua na hii sio haki duniani na hata mbele ya mungu,

CCM MNATAKIWA MSAFISHE LAANA YA NYERERE ILI MUENDELEE KUTAWALA AMA SIVYO MMEKWISHA
 

Katika nchi zote zilizo endelea kidemokrasia kura ya siri hutumika pale mtu anapokuwa na uamuzi binafsi tu kuamua jambo. Mambo yote yanayo husu masuala ya kitaifa kura ya wazi ndio hutumika. Tukumbuke, katiba ni suala la kitaifa si suala la mbunge kwa binafsi yake. Na yeye pale anawakilisha watu, na sio yupo pale kwa binafsi yake. Kura ya WAZI ndio ya haki na sio ya siri.
Ni kweli wenzetu wanafanya hivyo lakini tofautisha mazingira yao na yetu hapa nitofauti kabisa,wao hawaitani kufanya vikao vya vyama kupanga hila kwa maslahi binafsi,kila mtu anakuwa na msimamo na utashi bila kulazimishwa na kushinikizwa na chama wako huru kusimamia wanachokiamini.
Hata hapa kama ingekuwa hilo linafanyika kwa nia njema,nadhani lisingepingwa lakini ni wazi inaonekana kuna njama na hila kwa wanaoshabikia kura ya wazi.
Itatuchukua muda kuwa wa wazi imagine watu wanashindwa hata kuwambia wake zao mishahara yao sembuse swala nyeti kama hili.
 
Mwenye kujua majadiliano ya leo nini kimejiri na jioni hii mwenye kupata matangazo atujuze.
Huku kwetu shirika la kigawa Giza Tz wameanza mgawo wao wa giza.
 
Wana JF wenzangu,nimeshindwa kufuatilia mijadala bungeni kwa leo. naombeni kujua maamuzi yaliyofikiwa kwenye suala la upigaji kura ... Ni wazi ama siri?
Ahsanteni
JF Daima
 
Hata mie mkuu, tunaomba mtujuze, je kanuni zimepitishwa? Na je lini uchaguzi wa mwenyekiti?
 
Bado hawajafikia hicho kifungu. Mpaka wafikie huko ni kifungu cha 38 hukoo
 
Kura ya wazi ni kura ya aibu, kura siri ni kura ya kijasiri. Hii ndiyo tofauti yake kubwa.
 
Mkuu hicho kipengele bado hatujafikia pengine kesho au kesho kutwa tunaweza kukijadili.
 
Kura ya wazi ni kura ya aibu, kura siri ni kura ya kijasiri. Hii ndiyo tofauti yake kubwa.

Katiba ni kumchagua kiongozi mkuu zaidi ya raisi wa nchi .kura ya siri ndio haki yake.ikumbukwe katiba ni kiongozi wa pili .kutoka wa kwanza.MUNGU
 
Hawa wabubge wa ccm wamechaguliwa kwa kura ya siri hivi leo wanataka ya wazi? Kulikuwa na sababu gani ya kukubali katiba mpya wakati mnamwaz mgando? Kwanini msishindane kwa hoja wakati wa mijadara mnang'ang"ania ubabe wananchi tunawashangaa sana muwaache wajumbe wawe huru wafanye tulichowatuma mnataka wakubali matakwa ya ccm aibu
 
CCM wameendelea kujiweka pagumu zaidi na zaidi....baada ya povu na nguvu na viroja vyote.Sasa hivi kura zote nimbaya kwa CCM. 1.Kura ya wazi:- wabunge wa CCM watapiga kura kwa wingi wao na raia watajua kuwa CCM ndio wamefanya na all of the sudden ushindi wao ktk mambo ya kijinga utapelekea wapinzani,wana harakati kuwa mashujaa overnight.Wabunge wa CCM watakuwa too scared na kujikuta wakifanya mambo ya kipumbavu kwa nguvu sana.Kwa kipindi hicho viongozi wao watashangilia sana ila baad ya hiyo session watajikuta wakigombana na raia,waandishi, etc..kwa kuia kuwa ni upotsohaji,sijui uchonganishi...Na wabunge wengine wa CCM wanaweza jilipua na kuidhalilisha sana CCM. 2.Mziki wapili ni kura ya Siri: Hapa ndio CCM walipokuwa wantetemeka hadi uti wa mgongo,ingwa si kubaya ktk public relation km upande wa kwanza.Wabunge wa CCM haswa wa zenj,na baadhi wa bara ,wanaharakati wote,na upinzani wataimaliza CCM.Huku CCM wakiambulia sifa kidogo bila lawama kubwa kwa kuonekana wamesaidia sana mchakato.CCM wanaweza toka dodoma wakitaka vuna magamba tena km kuna wenye ujasiri kidogo wa kuwapiga chini..haswa wale wanaojua kuwa nafasi z akupata ubunge ni kwa ccm ni kama hakuna tena.wengi wanamaadui wa ndani na watapigwa chini km akina shelukindo,wengine ktk majimbo yao kuna CDM imara na wengine basi tuu hawana hela za kuhonga au mtoto wa mkubwa kapenda jimbo na wanavyodhani kuwa ni ya familia zao. /n. Mchakato mzima na sensitivity ya kijinga imeibuliwa na kutoona mbali na kwa makini kwa ccm..hii issue baada ya kuboma wangedownplay na kuhamia ktk kitu kingine.sasa wao wakageuza kuwa self destructions.Hakuna mtu asiyejua kuwa CCM wanashida sana kufanya mambo consistency tena ktk kipindi hiki cha zima moto
 
Back
Top Bottom