Uchaguzi 2020 Kura yangu kwa Lissu

Uchaguzi 2020 Kura yangu kwa Lissu

Lissu atapigiwa kura na robert tu

Uchaguzi huu ni kuwafundisha Chadema kuwa usaliti kwa Nchi ni laana
Kwani wewe ni mtanzania?
Wenzio wamekamatwa mwanza Jana hivyo watakutaja na wewe utakuwa ndani 2810,mwaka huu hatutaki kabisa
 
Ndiyo maana hatuishi kwenye nyumba za tembe kama ndugu zako, mpuuzi wewe mimi nichague jitu katili hivyo nimelaaniwa na nani? nikaribishe mkosi nyumbani kwangu, fanya research mpuuzi wewe uone sehemu zilizoendelea siku zote ni Chadema kwenye tembe na Ufukara ni CCM.
Kama nilivyo kwambia akili unazo ila kwenye utimamu sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]pole sana....embu nikusaidie kidogo kufikiria mana ww ni mzigo wa haja ....chadema ni chama cha pili kwa kuwa na idadi kubwa ya madiwani na wabunge manake wanapata ruthuk kubwa ukiacha ccm, wabunge wake wanalazimika kutoa gawio kwa chama katika kila mshara wa mwezi, wanawashirika manake wanapata fedha kutoka kwa miaka 25 niambie mnatua uchawi gani mpka mkajenga huu upuzi[emoji116] alfu bila haya wala aibu unamzungumzia Magu mjinga kabisa ww...
Screenshot_20200807-150403.jpg
IMG_20200825_062909.jpg
 
Pombe haikai ikulu bali inapatikana bar.
 
wapenda haki wote ni LISSU.
Wapenda amani wote ni LISSU.
Wapenda Mungu wote bila unafki ssijui maendeleo hayana chama huku unafanya mengine mara kutenga watu wa kanda ya ule mlima mrefu Afrika,
 
ruthuk kubwa ukiacha ccm, wabunge wake wanalazimika kutoa gawio kwa chama katika kila mshara wa mwezi, wanawashirika manake wanapata fedha kutoka kwa miaka 25 niambie mnatua uchawi gani mpka mkajenga huu upuzi
emoji116.png
alfu bila haya wala aibu unamzungumzia Magu mjinga kabisa ww
ruthuk= sijui ndiyo bibi yako, CCM imejenga nini zaidi ya kupora mali za umma? ungekuwa umepanga chumba kidogo akili ungekuwa nazo sasa hii kuishi kwa dada ako ambaye anapata maumivu ili wewe ule ndiyo imekumaliza mkuu, kati ya majimbo ya Chadema na CCM ni wapi kwa mafukara na wajinga wengi kama wewe? tena kwenye nyumba za tembe
 
Sisi mabeberu tunamtaka rais atakayekuwa
1.Mteja wa cash kwa campuny zetu za Boeing na bombardiers

2.Sisi wachina tunataka atakae wanyima wananchi wake mishahara ili sisi tupate tenda za kujenga vivuko vya barabara kwa jina la flyover

3.Sisi acacia tunataka MTU ambae akisema anatudai 400trilion tukimtishia anashusha hadi 300Mln
Muoga atakae tupa mikataba tuitakayo sisi.

4.Sisi mabeberu wa turkey tunataka kuhakikishiwa Tenda ya SGR.

5.Sisi mabeberu wa Egypt tunataka MTU atakayeendelea kukumbatia mkataba tuliomuingiza chaka juu ya stiglars Gorge.

6.Sisi mabeberu tunataka MTU atakae wanyang'anya wananchi wake korosho halafu aje atuuzie sisi kwa bei nafuu kabisa.

Mimi najua anaetumika kwa manufaa ya mabeberu ni jiwe
Kweli mkuu vivuko vya barabara tunaambiwa fly over
 
ruthuk= sijui ndiyo bibi yako, CCM imejenga nini zaidi ya kupora mali za umma? ungekuwa umepanga chumba kidogo akili ungekuwa nazo sasa hii kuishi kwa dada ako ambaye anapata maumivu ili wewe ule ndiyo imekumaliza mkuu, kati ya majimbo ya Chadema na CCM ni wapi kwa mafukara na wajinga wengi kama wewe? tena kwenye nyumba za tembe
Ww kama nilivyo kwambia akili mzigo ... jibu swali mlitumia uchawi gani kufanikisha hili[emoji116] kama huna uwezi jibu funga bakuli pita kule sihitaji vizu mm....usiniambukize ujinga wako...
Screenshot_20200807-150403.jpg
 
Ilinifanikiwe kumpigia kura lisunge basi inabidi niwe kicha kwanza....upupu tu umejaa humu....Magu kafanya zaidi ya hitaji ...na hakuna wa kulipinga hili
Unauhakika sasa hivi wewe si kichaa?
 
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu

Chadema watajuta kumsimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera
Ww ni andazi nenda kwa mama ntilie ndo ana ukaribu na ww ,acha kundika maneno yako yaliyopungukiwa,ww ni mweupe Sana kichwani
 
Hivi umepata wapi ilani ya CHADEMA mbona nasikia bado wanaitayarisha? Au ni propaganda - Lissu anatembelea vijiwe kukusanya maoni ya wananchi ili CHADEMA waanze kuunda ilani, sasa wewe ulipo soma ilani ya CCM na ya CHADEMA, ya CHADEMA uliipata wapi? Na inasemaje? Ilani haiwezi kuwa ni maneno matatu tu - yaani haki, maendeleo ya watu......!
 
Asante sana kwa kuuona ukweli huu.

Hatuitaji CCM kama.kweli tunataka nchi imara.
 
Lisu Mjikusanye Vibendera woote
Hata 20% Hamta ipata
 
Back
Top Bottom