Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Wewe kinachokuponza ni kile kitambi chako tuuu ila kwingine hadi chura uko vizuri![emoji28][emoji28][emoji28]Ngoma droo wote wako vizuri, tuweke matuta sasa.[emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kinachokuponza ni kile kitambi chako tuuu ila kwingine hadi chura uko vizuri![emoji28][emoji28][emoji28]Ngoma droo wote wako vizuri, tuweke matuta sasa.[emoji3]
Eti ni ubatili mtupu na kujilisha upepo
Weka pichaJamii forum imejaliwa kuwa na warembo weng,lakn nimeona nichukue hiz sample mbil na watu mpge kura zenu il tujue ni nan ataibuka mshind
Mshind atashndanishwa na Money penny kutoka kund B,karibun
Hahaa afu wewe tu ndo hupendi kitambi, wenzio wanapagawa nacho si mchezo😀Wewe kinachokuponza ni kile kitambi chako tuuu ila kwingine hadi chura uko vizuri![emoji28][emoji28][emoji28]
Watu mnavutia hisia mionekano ya watu kwa miandiko yao na avatar, hii ndio wanaita kuuziwa mbuzi kwenye gunia, wajinga ndo waliwao
wote midume iyo, shauri yako
Vitako vimekuwa ndio identity sasa, vipi wale walioanguka bafuni wakafikia makalio.Kwanini unawatambua watu kwa kutumia vitako vyao?
Sent from my vivo X21 using Tapatalk
Unacheka vibayaKuna watu watabisha 😁
Acha uongo Cutelove tunamjua humu. Ni mfupi amekomaa anapenda kuvaa sweta la bendera ya TanzaniaCutelove ni mrefu nyuma kajazia,Depal ni mnene kwa juu lakn nyuma naye yumo ingawa sio sana!! toa kura yako