Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Anazingua sana.Mkuu baada ya kinana kupewa nafasi now anaongea lolote na hata kuwakera akijua tayari safu ya ushindi wa mtake msitake ipo tayari.
FRANCIS DA DON Nyankurungu2020
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anazingua sana.Mkuu baada ya kinana kupewa nafasi now anaongea lolote na hata kuwakera akijua tayari safu ya ushindi wa mtake msitake ipo tayari.
FRANCIS DA DON Nyankurungu2020
Tatizo nyinyi nanyi mmezidi ushamba, mmepewa nchi miaka mitano tu mkaanza kula nyama za watu; kwa sasa ENDELEENI KUCHUNGA NG'OMBENani anajifanya kusahau juu ya uchaguzi wa 2010?
Wananchi wa kanda ya ziwa waliikataa CCM ya kifisadi na matokeo ya uchaguzi yalikuwa juu kwa upinzani hasa Chadema.
Upinzani ulipata madiwani, wabunge na kura nyingi za urais toka kanda ya ziwa.
Mwaka 2025 utathibitisha hili bila chenga. Tuombe uzima na yetu ni macho.
ulikuepo katka kuhesabu na kuratibu upigaj kura!! au ndo unajitekenya na kucheka mwenyewe
Well said, na huo ndio ukweli, ukiwahujui mitazamo ya watu nnje ya JF unaweza kusema waTanzania hawakumuelewa JPM.Mgombea yeyote atakayebeba falsafa za JPM kwa dhati, ataungwa mkono na Watanzania wengi, siyo Kanda ya Ziwa pekee.
Mgombea yeyote atakayebeba falsafa za JPM kwa dhati, ataungwa mkono na Watanzania wengi, siyo Kanda ya Ziwa pekee.
Yaani amefuata nyao za mtangulizi wake ...JK na awamu yake walikua wameisha toka ila jamaa kila hotuba lazma aseme tumeibiwa na kuchezewa sanaMi kanikera sana! Hawezi kufanya vitu vyake mpaka amtaje Magufuli! Very stupid behaviour!
Upuuzi huu toaNani anajifanya kusahau juu ya uchaguzi wa 2010?
Wananchi wa kanda ya ziwa waliikataa CCM ya kifisadi na matokeo ya uchaguzi yalikuwa juu kwa upinzani hasa Chadema.
Upinzani ulipata madiwani, wabunge na kura nyingi za urais toka kanda ya ziwa.
Mwaka 2025 utathibitisha hili bila chenga. Tuombe uzima na yetu ni macho.
Kura hapa tz hazitoi maamuzi yoyote. Anayetoa maamuzi Ni mkurugenzi wa uchaguzi anaamia amtangaze Nani Basi!!Nani anajifanya kusahau juu ya uchaguzi wa 2010?
Wananchi wa kanda ya ziwa waliikataa CCM ya kifisadi na matokeo ya uchaguzi yalikuwa juu kwa upinzani hasa Chadema.
Upinzani ulipata madiwani, wabunge na kura nyingi za urais toka kanda ya ziwa.
Mwaka 2025 utathibitisha hili bila chenga. Tuombe uzima na yetu ni macho.
Nyamagana (WENJE DIBOGO EZEKIA) ilemela (KIWIA SAMSON) ukerewe (MACHEMLI NALUYAGA) msoma (NYERERE VINCENT) (BIHARAMLO) ANTHONY MBASSA RIPNani anajifanya kusahau juu ya uchaguzi wa 2010?
Wananchi wa kanda ya ziwa waliikataa CCM ya kifisadi na matokeo ya uchaguzi yalikuwa juu kwa upinzani hasa Chadema.
Upinzani ulipata madiwani, wabunge na kura nyingi za urais toka kanda ya ziwa.
Mwaka 2025 utathibitisha hili bila chenga. Tuombe uzima na yetu ni macho.
Ni lini CCM imetegemea kura zetu kukaa madarakani? Hivi Kuna mgombea alikua competent zaidi ya Dr Slaa? Kama hakupewa usidhani Mama ataangushwa.Mgombea yeyote atakayebeba falsafa za JPM kwa dhati, ataungwa mkono na Watanzania wengi, siyo Kanda ya Ziwa pekee.
Bila kusahauNyamagana (WENJE DIBOGO EZEKIA) ilemela (KIWIA SAMSON) ukerewe (MACHEMLI NALUYAGA) msoma (NYERERE VINCENT) (BIHARAMLO) ANTHONY MBASSA RIP
JPM angekua na ushawishi huu mnaopenda kumpamba humu sidhani kama 2020 angetumia nguvu vile kupiga kampeni.Well said, na huo ndio ukweli, ukiwahujui mitazamo ya watu nnje ya JF unaweza kusema waTanzania hawakumuelewa JPM.
Lakini ukiingia kwenye mitandao mingine na mitaani,ndio utajua Magu alikubalika kiasigani.
Alikuwa nimtu mwenye ndoto zakuiletea tanzania maendeleo ya kweli na akiongea unamuona anamaanisha anachoongea kutoka moyoni.
Hakutaka ujinga kabisa kwenye swala la utumishi wa uma.
Yoyote atakae beba falsafazake atapatakura nyingi na zakutosha, ngoja tusubiri muda.
Dah tulikotoka ni mbaliBila kusahau
John Shibuda (Maswa Ms)
Kasulumbayi (Maswa mgh)
Meshack opulukwa
Prof Kuliyokela kahigi (Bukombe)
KUNA CHARLES MWERA TARIME HATARI SANABila kusahau
John Shibuda (Maswa Ms)
Kasulumbayi (Maswa mgh)
Meshack opulukwa
Prof Kuliyokela kahigi (Bukombe)