Uchaguzi 2020 Kura za maoni CCM. Wapiga kura wote walikuwepo ukumbini kuangalia kura zinavyohesabiwa. Kwanini Nec iwe na mashaka kwa watu kuwepo nje ya vituo

Uchaguzi 2020 Kura za maoni CCM. Wapiga kura wote walikuwepo ukumbini kuangalia kura zinavyohesabiwa. Kwanini Nec iwe na mashaka kwa watu kuwepo nje ya vituo

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Nec ijifunze democrasia kutoka kwa jabali la democracy Tanzania JPM. Akiwa Mwenyekiti wa CCM aliamuru kura zihesabiwe kwa uwazi kabisa mbele ya wajumbe kwenye mchakato wa kura za maoni kupata wabunge na madiwani.

Utaratibu huo umesaidia kuondoa malalamiko yoyote ya kuibiwa kura wakati wa UCHAGUZI.

Je, kwanini NEC izuie watu kukaa nje kusubiri matokeo.? Vipi Kama wajumbe wa CCM wangepiga Kura na kwenda nyumbani na kuja kutangaziwa kesho yake kuwa Fulani kashinda ingetokea Nini!?

Nec haitakiwi tu kutenda haki Bali kuuthihilishia umma na kila mtu na dunia nzima haki imetendeka.

Uwezi kwenda kucheza Mpira alafu ukitolewa sub urudi nyumbani kusubiri matokeo.

CCM TUNAJIAMINI TUTASHINDA ASUBUHI KABISA. TULIAHIDI NA TUMETEKELEZA KWA KISHINDO. WAACHE WAKAE WAONE WENYEWE MATOKEO. HATUTAKI FUJO KABISA.
 
Nec ijifunze democrasia kutoka kwa jabali la democracy Tanzania JPM. Akiwa Mwenyekiti wa CCM aliamuru kura zihesabiwe kwa uwazi kabisa mbele ya wajumbe kwenye mchakato wa kura za maoni kupata wabunge na madiwani.

Utaratibu huo umesaidia kuondoa malalamiko yoyote ya kuibiwa kura wakati wa UCHAGUZI.

Je, kwanini NEC izuie watu kukaa nje kusubiri matokeo.? Vipi Kama wajumbe wa CCM wangepiga Kura na kwenda nyumbani na kuja kutangaziwa kesho yake kuwa Fulani kashinda ingetokea Nini!?

Nec haitakiwi tu kutenda haki Bali kuuthihilishia umma na kila mtu na dunia nzima haki imetendeka.

Uwezi kwenda kucheza Mpira alafu ukitolewa sub urudi nyumbani kusubiri matokeo.

CCM TUNAJIAMINI TUTASHINDA ASUBUHI KABISA. TULIAHIDI NA TUMETEKELEZA KWA KISHINDO. WAACHE WAKAE WAONE WENYEWE MATOKEO. HATUTAKI FUJO KABISA.
Umemaliza kutoa maagizo mkuu?
 
Nec ijifunze democrasia kutoka kwa jabali la democracy Tanzania JPM. Akiwa Mwenyekiti wa CCM aliamuru kura zihesabiwe kwa uwazi kabisa mbele ya wajumbe kwenye mchakato wa kura za maoni kupata wabunge na madiwani.

Utaratibu huo umesaidia kuondoa malalamiko yoyote ya kuibiwa kura wakati wa UCHAGUZI.

Je, kwanini NEC izuie watu kukaa nje kusubiri matokeo.? Vipi Kama wajumbe wa CCM wangepiga Kura na kwenda nyumbani na kuja kutangaziwa kesho yake kuwa Fulani kashinda ingetokea Nini!?

Nec haitakiwi tu kutenda haki Bali kuuthihilishia umma na kila mtu na dunia nzima haki imetendeka.

Uwezi kwenda kucheza Mpira alafu ukitolewa sub urudi nyumbani kusubiri matokeo.

CCM TUNAJIAMINI TUTASHINDA ASUBUHI KABISA. TULIAHIDI NA TUMETEKELEZA KWA KISHINDO. WAACHE WAKAE WAONE WENYEWE MATOKEO. HATUTAKI FUJO KABISA.
Tumia akili,sharia za nchi lazima ziheshimiwe.
 
Tena mwenyekiti wa CCM akaomba kabisa kila kitu kiwe wazi wakati wa uchaguzi na akawashauri NEC wafanye kila kitu kwa uwazi
 
Nec ijifunze democrasia kutoka kwa jabali la democracy Tanzania JPM. Akiwa Mwenyekiti wa CCM aliamuru kura zihesabiwe kwa uwazi kabisa mbele ya wajumbe kwenye mchakato wa kura za maoni kupata wabunge na madiwani.

Utaratibu huo umesaidia kuondoa malalamiko yoyote ya kuibiwa kura wakati wa UCHAGUZI.

Je, kwanini NEC izuie watu kukaa nje kusubiri matokeo.? Vipi Kama wajumbe wa CCM wangepiga Kura na kwenda nyumbani na kuja kutangaziwa kesho yake kuwa Fulani kashinda ingetokea Nini!?

Nec haitakiwi tu kutenda haki Bali kuuthihilishia umma na kila mtu na dunia nzima haki imetendeka.

Uwezi kwenda kucheza Mpira alafu ukitolewa sub urudi nyumbani kusubiri matokeo.

CCM TUNAJIAMINI TUTASHINDA ASUBUHI KABISA. TULIAHIDI NA TUMETEKELEZA KWA KISHINDO. WAACHE WAKAE WAONE WENYEWE MATOKEO. HATUTAKI FUJO KABISA.
Hata waje na vifaru, kura tutalinda tu, wasitubabaishe
 
Nimeishia kusoma hapo kwenye "Jabali la demokrasia JPM"
 
Tumia akili,sharia za nchi lazima ziheshimiwe.
Jielimishe. Hakuna sheria inayosema ukipiga uende nyumbani. HAIPO.

Ninyi ndiyo mnaoishi kama kasuku, ukisikia tu Mahera ametamka kitu, unaendelea kuimba bila ya kujiuliza kama alichokitamka kipo kwa mujibu wa sheria au ni ndoto zake tu au ameagizwa na Polepole.

Hatufuati maagizo ya Mahera wala ya Polepole bali sheria. Na kwa vile hakuna sheria inayosema ukipiga kura uende nyumbani, baada ya kupiga kura, wapiga kura au tutabaki hapo hapo au tutaenda nyumbani au tutaenda baa au kwingine kokote tunakotaka maadamu hatuvunji sheria.

Mahera akitaka anaweza kuwaambia watoto wake, baada ya kupiga kura waende nyumbani lakini siyo mwingine awaye yeyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nec ijifunze democrasia kutoka kwa jabali la democracy Tanzania JPM. Akiwa Mwenyekiti wa CCM aliamuru kura zihesabiwe kwa uwazi kabisa mbele ya wajumbe kwenye mchakato wa kura za maoni kupata wabunge na madiwani.

Utaratibu huo umesaidia kuondoa malalamiko yoyote ya kuibiwa kura wakati wa UCHAGUZI.

Je, kwanini NEC izuie watu kukaa nje kusubiri matokeo.? Vipi Kama wajumbe wa CCM wangepiga Kura na kwenda nyumbani na kuja kutangaziwa kesho yake kuwa Fulani kashinda ingetokea Nini!?

Nec haitakiwi tu kutenda haki Bali kuuthihilishia umma na kila mtu na dunia nzima haki imetendeka.

Uwezi kwenda kucheza Mpira alafu ukitolewa sub urudi nyumbani kusubiri matokeo.

CCM TUNAJIAMINI TUTASHINDA ASUBUHI KABISA. TULIAHIDI NA TUMETEKELEZA KWA KISHINDO. WAACHE WAKAE WAONE WENYEWE MATOKEO. HATUTAKI FUJO KABISA.
Kwani NEC ni CCM?? KAMA MNATAKA NEC IFANYE KAMA CCM, HAMIENI WOTE CCM ILIMFANYIWE KAMA CCM. IACHENI NEC IFANYE KAZI ZAKE WALA MSIIBUGUZI. NEC INAFANYA KAZI KWA MUJIBU WA SHERIA.
 
NEC ni janga la taifa kwa sasa!
Tutalinda kura zetu, na tarehe hiyo tutakuwa tushapiga kura...

Hawataamini hii ndio nchi waliodhania imejaa wajinga
 
Nec ijifunze democrasia kutoka kwa jabali la democracy Tanzania JPM. Akiwa Mwenyekiti wa CCM aliamuru kura zihesabiwe kwa uwazi kabisa mbele ya wajumbe kwenye mchakato wa kura za maoni kupata wabunge na madiwani.

Utaratibu huo umesaidia kuondoa malalamiko yoyote ya kuibiwa kura wakati wa UCHAGUZI.

Je, kwanini NEC izuie watu kukaa nje kusubiri matokeo.? Vipi Kama wajumbe wa CCM wangepiga Kura na kwenda nyumbani na kuja kutangaziwa kesho yake kuwa Fulani kashinda ingetokea Nini!?

Nec haitakiwi tu kutenda haki Bali kuuthihilishia umma na kila mtu na dunia nzima haki imetendeka.

Uwezi kwenda kucheza Mpira alafu ukitolewa sub urudi nyumbani kusubiri matokeo.

CCM TUNAJIAMINI TUTASHINDA ASUBUHI KABISA. TULIAHIDI NA TUMETEKELEZA KWA KISHINDO. WAACHE WAKAE WAONE WENYEWE MATOKEO. HATUTAKI FUJO KABISA.
Wanachokitafuta watakipata. Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Mkuu safari hii ana akili ndogo sana. Eti wanamwita daktari. Ni kituko. Uchaguzi huu utampoteza yeye na familia yake. Pumbavu huyu.
 
Tumia akili,sharia za nchi lazima ziheshimiwe.

Sheria namba ngapi itaje hapo acha kuweweseka hakuna sheria ya hivyo ndiyo maana miaka mingine walikuwa wanasema wananchi wakae 200m wakaulizwa kwahiyo mtu kama nyumba yake iko 50m kutoka kwenye kituo aende wapi wakakosa majibu
 
Sheria namba ngapi itaje hapo acha kuweweseka hakuna sheria ya hivyo ndiyo maana miaka mingine walikuwa wanasema wananchi wakae 200m wakaulizwa kwahiyo mtu kama nyumba yake iko 50m kutoka kwenye kituo aende wapi wakakosa majibu
Act of parliament= rules made by minister. Sasa leta kiburi uvunjwe miguu.
 
Nec ijifunze democrasia kutoka kwa jabali la democracy Tanzania JPM. Akiwa Mwenyekiti wa CCM aliamuru kura zihesabiwe kwa uwazi kabisa mbele ya wajumbe kwenye mchakato wa kura za maoni kupata wabunge na madiwani.

Utaratibu huo umesaidia kuondoa malalamiko yoyote ya kuibiwa kura wakati wa UCHAGUZI.

Je, kwanini NEC izuie watu kukaa nje kusubiri matokeo.? Vipi Kama wajumbe wa CCM wangepiga Kura na kwenda nyumbani na kuja kutangaziwa kesho yake kuwa Fulani kashinda ingetokea Nini!?

Nec haitakiwi tu kutenda haki Bali kuuthihilishia umma na kila mtu na dunia nzima haki imetendeka.

Uwezi kwenda kucheza Mpira alafu ukitolewa sub urudi nyumbani kusubiri matokeo.

CCM TUNAJIAMINI TUTASHINDA ASUBUHI KABISA. TULIAHIDI NA TUMETEKELEZA KWA KISHINDO. WAACHE WAKAE WAONE WENYEWE MATOKEO. HATUTAKI FUJO KABISA.
Sheria ya uchaguzi inasemaje?
 
Nec ijifunze democrasia kutoka kwa jabali la democracy Tanzania JPM. Akiwa Mwenyekiti wa CCM aliamuru kura zihesabiwe kwa uwazi kabisa mbele ya wajumbe kwenye mchakato wa kura za maoni kupata wabunge na madiwani.

Utaratibu huo umesaidia kuondoa malalamiko yoyote ya kuibiwa kura wakati wa UCHAGUZI.

Je, kwanini NEC izuie watu kukaa nje kusubiri matokeo.? Vipi Kama wajumbe wa CCM wangepiga Kura na kwenda nyumbani na kuja kutangaziwa kesho yake kuwa Fulani kashinda ingetokea Nini!?

Nec haitakiwi tu kutenda haki Bali kuuthihilishia umma na kila mtu na dunia nzima haki imetendeka.

Uwezi kwenda kucheza Mpira alafu ukitolewa sub urudi nyumbani kusubiri matokeo.

CCM TUNAJIAMINI TUTASHINDA ASUBUHI KABISA. TULIAHIDI NA TUMETEKELEZA KWA KISHINDO. WAACHE WAKAE WAONE WENYEWE MATOKEO. HATUTAKI FUJO KABISA.

Lile zoezi la kura za wazi kabisa ccm ilikuwa ni hadaa ili watu waamini kuwa ccm wana uwazi. Kumbuka wagombea halisi sio lazima wawe ni wale walioshinda pale, bali kulikuwa na kikao kingine cha siri hicho ndio hasa kilitoa mgombea. Uchaguzi huu hawawezi kukubali uwazi ule maana mshindi sio wa kura, bali ni yule anayetakiwa na Magufuli. Hivyo uwazi utahatarisha matamanio yao, maana hawana uhakika ama uwezo wa kushinda kihalali.
 
Ndo njia pekee ya kuiokoa ccm iliyobaki.
But wanampigania asiyefadhilika apite ili aje awatumbue ataanza na Mahera na siro, why mnapigania ajae kuwatumbua. Ni kawaida ya mabashite kuwanyea waliowasaidia kuinuka
 
Sheria inasemaje Sasa, toa vifungu

Sheria inakataza kuwa karibu na kituo cha kura, mimi sio mwanasheria usubiri nikupe kwa vifungu. Hapa suala sio sheria bali ni uhalali sheria, maana hata wakoloni walikuwa na sheria lakini zenye nia ovu.
 
Back
Top Bottom