Uchaguzi 2020 Kura za maoni Kyela ni kitendawili na zinashtua

Kama si mkazi wa Kyela unahaki!
 
Wanyakyusa sio watu kama unabisha nenda kaishi nao.MWAKYEMBE ALIKUWA ANA WA FOOL KUMBE WANAMCHEKI TU LEO KAWATEGEA SHINGO WAMEPITISHA KISU.
Mwakyembe ni mzee mhuni pia muongo muongo.
Mnyakyusa hata kwenye misiba..ukijifanya ushiriki katika misiba ya majirani au ukajifanya uko busy na shughuli zako na kutoona shida za mwenzako na kujiona' spesho' sana wewe jiandae kisaikolojia siku yakikufika..utaomba ardhi ipasuke.
 
Mwakyembe, Maghembe, Kitwanga, Lwenge nk kwa sasa wapumzike tu.
Siasa za majimboni zilishawatupa toka 2015 lakini wakalazimisha game iwabebe.
Hata kwa bunduki mwaka huu wasingeweza kuvuka.
Nimeona Kapuya kapita...hii imekaaje??
 
Kuna Naibu waziri amepigwa chini na Tale, sijui wa kilimo
 
Mzee kuna naibu waziri kaliwa kichwa na babu tale
 
Huyo Kinanasi ni mkinga au mnyakyusa?
 
Tatizo ni digrii 4! Na pia matumuzi yake.Haiwezekani 'msomi wa digrii 4 ,dk.wa filosofi,anafundisha vyuo vikuu mbali mbali vinne akeshe uwanja wa ndege kumsubiri mtu wa std vii! Lakini anawadharau wapiga kura wa std vii! TOTALLY INSANITY!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…