Uchaguzi 2020 Kura za maoni Kyela ni kitendawili na zinashtua

Unatudanganyaje hv hv tu mchana kweupeeee
N kwel hakuna Naibu Waziri alyeshindwa kwny kura za maoni?????
 
Mwakyembe, Maghembe, Kitwanga, Lwenge nk kwa sasa wapumzike tu.
Siasa za majimboni zilishawatupa toka 2015 lakini wakalazimisha game iwabebe.
Hata kwa bunduki mwaka huu wasingeweza kuvuka.
Lwenge ndio waziri wa ujenzi?
 
Naombeni matokeo ya Tandahimba kule kwa Katani aliye toka CUF akaenda CCM .
 
Hayakuhusu. We pambania warembo wa viti maalumu ufipa
 
Mheshimiwa Mwakyembe kapata kura nyingi sana hapo Kyela ange gombea Elias Mwakalinga katibu mkuu wizara ya Ujenzi angepata kula chache Mnoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…