Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kuna kutupiana majini piaYani hadi uongozi wa serikali za mitaa wanadundana🤔
HatariiWanageukiana sasa😂😂😂
Hakika ni ngumi kila mahali. Sehemu zingine Polisi waenda kuokoa jahazi.Kila yanapotolewa matokeo ngumi zinalipuka, yaani ni kila mtu na wake, hatari! Matofali na kila silaha zinatumika (Hakuna Polisi)
Kama kuna Unapoona hakuna ngumi basi jua Matokeo hayajatolewa.
View attachment 3133560View attachment 3133562
Usiondoke Jf, Kama kuna maafa yoyote yatokanayo na hilo tutakuwekea hapa hapa
Lumber unaituatilia ccm?Kila yanapotolewa matokeo ngumi zinalipuka, yaani ni kila mtu na wake, hatari! Matofali na kila silaha zinatumika (Hakuna Polisi)
Kama kuna Unapoona hakuna ngumi basi jua Matokeo hayajatolewa.
View attachment 3133560View attachment 3133562
Usiondoke Jf, Kama kuna maafa yoyote yatokanayo na hilo tutakuwekea hapa hapa
Penye riziki hapakosagi vuruguNi mwendo wa vitasa na kuumbuana kuhusu wizi na upendeleo
Kama kuna chama kinachodhani kuwa kinakubalika halafu hakijui umuhimu wa uchaguzi wa Serikali za mitaa basi hicho ni chama cha wahuni na wapumbavu na lalofa.Yani hadi uongozi wa serikali za mitaa wanadundana🤔
Chama cha wahuni ni kile kinacholazimisha kukubalika hata kwa kuiba kura .Kama kuna chama kinachodhani kuwa kinakubalika halafu hakijui umuhimu wa uchaguzi wa Serikali za mitaa basi hicho ni chama cha wahuni na wapumbavu na lalofa.
CCM hapa huu uchaguzi ndio unaowapa dira ya kuelekea 2025 .
Wakishindwa huu uchaguzi basi 2025 kwisha habari yake
Wezi wanaibiana😂Kila yanapotolewa matokeo ngumi zinalipuka, yaani ni kila mtu na wake, hatari! Matofali na kila silaha zinatumika (Hakuna Polisi)
Kama kuna Unapoona hakuna ngumi basi jua Matokeo hayajatolewa.
View attachment 3133560View attachment 3133562
Usiondoke Jf, Kama kuna maafa yoyote yatokanayo na hilo tutakuwekea hapa hapa
Kweli aisee 😂😂😂😂😂😂😂Hapo washapigia Hesabu hela za Ulinzi shirkishi na Takataka afu we ulete zako ...yaani usilete mchezo kwenye Ugali.