LGE2024 Kura za Maoni za CCM ngumi zafumuka kila Mahali

LGE2024 Kura za Maoni za CCM ngumi zafumuka kila Mahali

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kila yanapotolewa matokeo ngumi zinalipuka, yaani ni kila mtu na wake, hatari! Matofali na kila silaha zinatumika (Hakuna Polisi)

Kama kuna Unapoona hakuna ngumi basi jua Matokeo hayajatolewa.

View attachment 3133560View attachment 3133562

Usiondoke Jf, Kama kuna maafa yoyote yatokanayo na hilo tutakuwekea hapa hapa
Pumbavu kabisa umbwa hawa...lazima wagombane maana uhakika wa kushinda Nov 27 ni kama 99.9%...kansa ya kuwaibia upinzani chaguzi inawatafuna sasa....kwenye ubunge na udiwani itakuwa kivumbi
 
Kweli aisee 😂😂😂😂😂😂😂
1729702449387.jpg

Hawa Jamaa ni wajinga waktupa. Hy screenshot nimesogezewa na mtu wa mtaani nakotokea.

Ugali noma Kamanda.
 
Rushwa, wizi,makundi, migawanyiko, ulafi wa madaraka, makafara, uchawa, utekaji, kupoteza na kuuana n.k ipo katk DNA ya wanachama wa chama dola kongwe hivyo dhambi hizo zinawatafuna

Na haya ni chembe kidogo kulingana na uovu pia uhalifu ulipo CCM, tutaona mengi .

1729703608527.jpeg
 
Huku napaficha ila uchaguzi labda urudiwe watu wamepigana sana masanduku ya kula yamekutwa kwa kila mgombea yaan polisi ndio wameokoa jahazi na uchaguzi ushavurugika hivyo, kwa hali navyoiona mwakani watu watauana sana asee.
 
Kila yanapotolewa matokeo ngumi zinalipuka, yaani ni kila mtu na wake, hatari! Matofali na kila silaha zinatumika (Hakuna Polisi)

Kama kuna Unapoona hakuna ngumi basi jua Matokeo hayajatolewa.

View attachment 3133560View attachment 3133562

Usiondoke Jf, Kama kuna maafa yoyote yatokanayo na hilo tutakuwekea hapa hapa
Mimi natamani wauane kabisa hawana faida yoyote hapa duniani.
 
Back
Top Bottom