900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
hapa nilipo ndo ambulance imeondoka kwa spidi ikimuwahisha diwani wao dodoma wamemkatakata vibaya sana. Kama tu wenyewe ni hivi itakuwaje wakati wa uchaguzi na chadema.Kila yanapotolewa matokeo ngumi zinalipuka, yaani ni kila mtu na wake, hatari! Matofali na kila silaha zinatumika (Hakuna Polisi)
Kama kuna Unapoona hakuna ngumi basi jua Matokeo hayajatolewa.
View attachment 3133560View attachment 3133562
Usiondoke Jf, Kama kuna maafa yoyote yatokanayo na hilo tutakuwekea hapa hapa
Maguruguja ni wanaoibiana wao kwa wao.Angalia hili guluguja lisilokuwa na akili hata chembe
Si ndiyo hao maccm wanaopigana makonde na kukatana mapanga kwa kuibiana kura za maoni.Maguruguja ni wanaoibiana wao kwa wao.
Kurjuan hiyo inawatafuna. Damu za wapinzani walizomwaga haziwezi kuwaacha salama hata kidogo.Kila yanapotolewa matokeo ngumi zinalipuka, yaani ni kila mtu na wake, hatari! Matofali na kila silaha zinatumika (Hakuna Polisi)
Kama kuna Unapoona hakuna ngumi basi jua Matokeo hayajatolewa.
View attachment 3133560View attachment 3133562
Usiondoke Jf, Kama kuna maafa yoyote yatokanayo na hilo tutakuwekea hapa hapa
TakhbiiiiirrrrrKurjuan hiyo inawatafuna. Damu za wapinzani walizomwaga haziwezi kuwaacha salama hata kidogo.
Cha mwizi huliwa na mwizi.Wezi wanaibiana😂
Allah Akbar !!!Takhbiiiiirrrrr
Si tu kuchukua, kumwibia Mwizi ni kumdharau na kumwona hajakomaa ktk KAZI yake ovu.Wezi wanaibiana😂
Huu uchaguzi wa moto sana.Kila yanapotolewa matokeo ngumi zinalipuka, yaani ni kila mtu na wake, hatari! Matofali na kila silaha zinatumika (Hakuna Polisi)
Kama kuna Unapoona hakuna ngumi basi jua Matokeo hayajatolewa.
View attachment 3133560View attachment 3133562
Usiondoke Jf, Kama kuna maafa yoyote yatokanayo na hilo tutakuwekea hapa hapa
Kurujuani inafanya kaziNi mwendo wa vitasa na kuumbuana kuhusu wizi na upendeleo
Mihuri ni mtajiYani hadi uongozi wa serikali za mitaa wanadundana🤔
Sasa hv tuwaachie wachapane wao kwa waoKila yanapotolewa matokeo ngumi zinalipuka, yaani ni kila mtu na wake, hatari! Matofali na kila silaha zinatumika (Hakuna Polisi)
Kama kuna Unapoona hakuna ngumi basi jua Matokeo hayajatolewa.
View attachment 3133560View attachment 3133562
Usiondoke Jf, Kama kuna maafa yoyote yatokanayo na hilo tutakuwekea hapa hapa