Katkit
JF-Expert Member
- Mar 12, 2023
- 1,893
- 4,641
Hajui anachokisema huyo. XXL ndio itamrudisha Dozen kwenye ramani, alipoteza mvuto kbsaKama n hivyo mbona alienda efm na alipoa kabisa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajui anachokisema huyo. XXL ndio itamrudisha Dozen kwenye ramani, alipoteza mvuto kbsaKama n hivyo mbona alienda efm na alipoa kabisa?
Mkuu ww ni msikilizaji mzuri wa Clouds fm. Nakuunga mkono 100%Huyo dogo mnampa sifa asizostahili ni presenter
💯🤝Huyo dogo mnampa sifa asizostahili ni presenter wa kawaida Sana na Hana uspecial wowote
Kazi sanaAmeanza na kunawiriii, ila uke wenzaaa jomoneee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kazi sana
Hivi Mange alimwambia Elisabeti kuwa ana utimwi??Mama ubaya mchezo?? Uke wenza wee kuwezaa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila hizi habari zina keraa jamanii..yani ujue mumeo anatifua mtu huko tena anaevaa suti kama yeye daaahAmeanza na kunawiriii, ila uke wenzaaa jomoneee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Admitted [emoji144]Hajui anachokisema huyo. XXL ndio itamrudisha Dozen kwenye ramani, alipoteza mvuto kbsa
Sawa mkuuHuko hakuenda kwa akili ya kazi lengo lake labda alimfuata top wake
XXL haijawahi kushuka chart,Kitu ambacho wengi hamjui ni lini XXL ilipoteza mvuto,ni baada ya Clouds kugombana na WASAFI,hapo ndo watu wengi waliikatia tamaa XXL ,kwahiyo basi,itakuwa ngumu sana kukirejesha kwenye chart hicho kipindi..
Unafahamu umri wa mtoa comment?Dogo?........[emoji23][emoji23]
Nahisi jamaa atakuwa 40+
Anaweza asiwike pia, unajua kwanini hakuwika Efm? NyakatiHajui anachokisema huyo. XXL ndio itamrudisha Dozen kwenye ramani, alipoteza mvuto kbsa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] etiii alisemaa,Hivi Mange alimwambia Elisabeti kuwa ana utimwi??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lakini mama ubayaa ndo alimkuta mwenzake mbelee, anajua walianzia wapiii? Na hawaachani wale kamwee.Ila hizi habari zina keraa jamanii..yani ujue mumeo anatifua mtu huko tena anaevaa suti kama yeye daaah
Hata baada ya kua na fm radio nyingi kama mchwa bado cloudsfm ina fan base kubwa na roll model wao wote[emoji2506]Anaweza asiwike pia, unajua kwanini hakuwika Efm? Nyakati
Waliwika enzi hizo fm redio chache
Tatizo ni kuwa chokoAdam Mchomvu asiyejua kipi cha kusema kwa wakati gani na kwa hadhira ipi unamlinganisha na Bdozen? Unazungumzia stori za kihuni? Sio kila mpenda burudani ni mhuni kuna watu wenye staha zao ambao wanasikiliza vipindi vya mchana.
Daah 🤓 🤓 🤓 🤓[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lakini mama ubayaa ndo alimkuta mwenzake mbelee, anajua walianzia wapiii? Na hawaachani wale kamwee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daah [emoji851] [emoji851] [emoji851] [emoji851]