King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kwani wamegombana nini na Mr?
Ndo mana lulu ana furaha sana siku hizi
[emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lakini mama ubayaa ndo alimkuta mwenzake mbelee, anajua walianzia wapiii? Na hawaachani wale kamwee.
Ni chakula kitamboHivi unajua Mapunga wewe walivyo? Mbona B12 hajakaa kipunga? Acheni kumsingizia.....Ukimuona Dr Kumbuka ,Ukimuona Lokole ,Ukimuona James Delicious hauwezi kuuliza kama jamaa upinde ila kwa B12 yupo kigentlemen.
Evidence tafadhaliNi chakula kitambo
Unataka evidence akiwa anapelekewa motoEvidence tafadhali
Ndio Mkuu.Unataka evidence akiwa anapelekewa moto
"Wengine wapiga chuma na hawana marinda" -Mbosso.Hivi unajua Mapunga wewe walivyo? Mbona B12 hajakaa kipunga? Acheni kumsingizia.....Ukimuona Dr Kumbuka ,Ukimuona Lokole ,Ukimuona James Delicious hauwezi kuuliza kama jamaa upinde ila kwa B12 yupo kigentlemen.
"Wengine wapiga chuma na hawana marinda" -Mbosso.
Usikariri wapo waliokaza kiume kabisa, wengine wana familia mke na watoto.Hivi unajua Mapunga wewe walivyo? Mbona B12 hajakaa kipunga? Acheni kumsingizia.....Ukimuona Dr Kumbuka ,Ukimuona Lokole ,Ukimuona James Delicious hauwezi kuuliza kama jamaa upinde ila kwa B12 yupo kigentlemen.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unadhani kila punga lazima awe km kina delicious, yule afande rama bila video kuvuja, kuna angeamini km analiwa??Hivi unajua Mapunga wewe walivyo? Mbona B12 hajakaa kipunga? Acheni kumsingizia.....Ukimuona Dr Kumbuka ,Ukimuona Lokole ,Ukimuona James Delicious hauwezi kuuliza kama jamaa upinde ila kwa B12 yupo kigentlemen.
Huna unalolijuaaa, nyoro nyoro ni mtu anaamua kuwa hivyooo.Zilipendwa.
M/me anayefukuliwa hajifichi hata akipiga chuma unaona kabisa ni lonyo lonyo.
Anajifanyaa mjuajii huyo, kumbe hana anacho kijuaa, ndo kaniacha hoii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usikariri wapo waliokaza kiume kabisa, wengine wana familia mke na watoto.
Wengine ni washkaji zako ila wanakwenda kupigwa mbali ili usijue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unadhani kila punga lazima awe km kina delicious, yule afande rama bila video kuvuja, kuna angeamini km analiwa??
Basi kwa taarifa yako sasa wengi wa gays ni hawa wanaonekana ni lijariii. Na sio yeye pekee wako wengi mnoo
Bas ndo ngoma ya majay hiyooo.
Huna unalolijuaaa, nyoro nyoro ni mtu anaamua kuwa hivyooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], sio sababu ya kuinamishwaaa.
Mie kuhusu mange hapana, kwan unadhan kuhusu huyu twangala na refer mange? ihuyu nna uhakika haswaa, sasa wee kutokuamini au kuamini ni suala lako binafsi, na sipo kukuaminisha.Una Proof au ndiyo Da Mange Kasema? Kama alisema kwamba Lulu ana Miwaya ila baadae Mange akaja kukanusha Je na hiyo ya B12 akija kukanusha utasemaje? Mimi nitakuwa wa Mwisho kuamini kwamba B12 ni NGAPULILA.
Kukubali au kukataa ni wee binafsi na hakuna wa kukupangia.Sawa ila B12 nakataa.
Ukwel n kwamba hakuna wakat jahaz lilikua tamu kama ule wakat WA Efrem kibonde (r.i.p) mussa HusseinHuyo dogo mnampa sifa asizostahili ni presenter wa kawaida Sana na Hana uspecial wowote Bora hata Adam mchomvu anachangamsha kipindi kwa stori zake.
Sijawahi muelewa huyo dogo Kuna watu wasipokuwepo kwenye kipindi unaona kweli kipindi kimepoa ni sawa na kukosekana mussa Hussein kwenye kipindi Cha jahazi clouds huwa naona kipindi hakina mvuto na huwa sisikilizi
Dozen ni punga mkuu,hata simtetei huyuChuki hazijengi mnasingizia watu mapunga kumbe na kaka zenu wamo kwenye list