Bongo movie wanachemka kwenye waigizaji wao.Wanaangalia watu wanao trend social networks, akina dada wenye mishape na wenye sura nzuri, waigizaji wa kiume wana angalia ushombeshombe/hb ,kwao upande wa casting uzuri 90% talent 10%,vingine utajulia mbelembele matokeo yake story nzuri waigizaji wabovu.
Sasa husiombee ukutane na story mbovu waigizaji wabovu, utatamani uwaambie wenye ving'amuzi wakurudishie hela yako.
Wee Pierre Likuid na Nicolejoyberry nk nao waigizaji siku hizi, wadangaji wa mjini wote wamekimbilia bongo movie.