Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,405
- 13,411
Kuna ile series ilikua inarushwa EATV nimesahau jina hao mabinti utadhani kwenye audition tako lilikua kigezo., 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ile series ilikua inarushwa EATV nimesahau jina hao mabinti utadhani kwenye audition tako lilikua kigezo., 😂😂😂
Ewaaa hiyo hiyo... Ilikua na balaa si mchezoUnazungumzia 'Siri za familia'.
Content haikua mbaya sana ila utadhani walichaguanaBalaa ya maumbile kuliko content.
sijui imepotelea wapiUnazungumzia 'Siri za familia'.
Ray ni kiazi hana elimu yeyote ya uigizaji seuze ya darasaniZamani niliwahi kuona tangazo la Ray anatafuta waigizaji, sentensi yake ya mwanzo ilikuwa, kama unajiona wewe ni mrembo na unataka kuigiza, fika ofisi zetu zilipo Sinza blah blah.
Watu wanatafuta vipaji sio warembo. Kwamtazamo wangu, Lupita Nyong'o kabla ya kutoka angeenda kwa Ray asingempa kazi kwasababu hana mikorogo
Mimi ni afisa wa polisi kutoka kituo cha kati halafu mkononi ana kitambulusho cha mpiga kura 😂😂Mwanzo walibugi kumpa one step entertainment hakimiliki ya kazi zao.
Hili kosa lilipelekea kufa kwa bongo movie mapema sana.
Now kosa hili lisijirudie tena.
Pia wakati huu filamu zetu zinapaswa kutumia waigizaji wasomi kutoka katika vyuo vyetu.
Hiki ndo kimeibeba HOLLYWOOD. WAIGIZAJI WENGI NI WASOMI WANA ELIMU YA WANACHOKIIGIZA.
Sababu ya kujihusisha na siasa pia iliua bongo movie.
Hili niliweke wazi kabisa Watanzania tulimkosea Mungu ili kutuadhibu akatuletea hili dubwana la kuitwa CCM. huwezi lishabikia ukawa na akili au ukafanikiwa unakuwa mtu wa hovyohovyo tu.
Angalia wanachofanya waigizaji wetu kipindi cha kampeni upuuzi upuuzi mtupu..na kinachopelekea hivyo ni njaa.
Now wasijichanganye tena uigizaji ni sanaa inayoimulika serikali kwa undani sana. Thats why HOLLYWOOD kuna movie zinazohusu CIA,FBI, white house.
Kwetu hapa watu wasiojulikana ilipaswa iandaliwe filamu, Sabaya the criminal, Makonda misifa. Haya matukio yalihitaji filamu.
Jeshi letu pia lilipaswa kutuonesha walichoko nacho kupitia movie na sio kubeba magogo sikukuu za uhuru.
Police waruhusu matumizi ya nguo na vituo vyao katika filamu kuweka uhalisia.
Sio kila movie "mimi ni afisa wa police kutoka kituo cha kati"🤣
Jambo la mwisho ni rushwa ya ngono.
Waigizaji wengi kipindi kile walipata nafasi kwa sababu walikuwa wanapigwa mbupu na ma producers.
HAwakuangalia ubora wao na vipawa.
Siri za familiaKuna ile series ilikua inarushwa EATV nimesahau jina hao mabinti utadhani kwenye edition tako lilikua kigezo., [emoji23][emoji23][emoji23]
Leongo ni tufikie hapaMimi ni afisa wa polisi kutoka kituo cha kati halafu mkononi ana kitambulusho cha mpiga kura 😂😂
Hivi Mpali sio wanaija?Dstv wamewapa promo kwa kuwatengea channel yao.
Na mimi si mpenzi wa hizo Bongo movie ila nilipomuona Joti nikaanza kuwa muangaliaji wa tamthilia ya Mwantumu.
Ila Wazambia ndio wanakimbiza na tamthilia yao ya MPALI iliyoingizwa sauti za kiswahili.