History-Victory
JF-Expert Member
- Sep 11, 2021
- 326
- 733
Ray hajui kuigiza na sijawahi muelewa yeye anapayuka tu.Nimewahi kuwataja kina Ray, JB n.k kama Watuhumiwa namba moja ya walioiua Bongo muvi.
Hawa na Wenzao walishika Tasnia wakishirikiana na Wasambazaji walikuwa wametanguliza pesa mbele.
Ipo haja Kampuni kama Azam na wengine kujifunza vizuri ujinga uliofanywa na kina Ray na steps wao wakauwa tasnia ili wasije wakarudia makosa.
Hawa Wasanii kuwapa full control ni hatari maana wao kipaumbele ni pesa na umaarufu, kama alivyokuwa steps alishika mpini...kwa sasa nao kina Azam, dstv na wengine wasiruhusu ule ujinga ujirudie.
Azam tumshukuru kwa kweli hadi mpira wetu pia kaupa thamani kubwa sana..Azam kawarudisha kwenye reli
Yaaa,mpali noma!Dstv wamewapa promo kwa kuwatengea channel yao.
Na mimi si mpenzi wa hizo Bongo movie ila nilipomuona Joti nikaanza kuwa muangaliaji wa tamthilia ya Mwantumu.
Ila Wazambia ndio wanakimbiza na tamthilia yao ya MPALI iliyoingizwa sauti za kiswahili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Hata izo tamthilia bado. Imagine umekaaa unaangalia tamthilia ya dakika 45 afu nusu saa nzima imetumika kukuonyesha ray kigosi anageuza gari au anafunguliwa geti anapita na gari. Huo ujinga huwezi ukuta kwenye muvi za mambele huko
Na rommy ndugu yake dai,eti nae anaigiza!!!?Bongo movie wanachemka kwenye waigizaji wao.Wanaangalia watu wanao trend social networks, akina dada wenye mishape na wenye sura nzuri, waigizaji wa kiume wana angalia ushombeshombe/hb ,kwao upande wa casting uzuri 90% talent 10%,vingine utajulia mbelembele matokeo yake story nzuri waigizaji wabovu.
Sasa husiombee ukutane na story mbovu waigizaji wabovu, utatamani uwaambie wenye ving'amuzi wakurudishie hela yako.
Wee Pierre Likuid na Nicolejoyberry nk nao waigizaji siku hizi, wadangaji wa mjini wote wamekimbilia bongo movie.
Wako wengi sio huyo, tasnia ya uigizaji wameirahisisha sana upande wa casting.Na rommy ndugu yake dai,eti nae anaigiza!!!?
Kama kina Azam watashika hatamu vizuri huenda tukaendelea kuona mazuri zaidi na hata kufikia kazi nzuri kama zinazofanyika huko nje.Yaaa,mpali noma!
Hata jua Kali,duh kwa bongo imetisha!
Huba ya kawaida
Mwanzo walibugi kumpa one step entertainment hakimiliki ya kazi zao.
Hili kosa lilipelekea kufa kwa bongo movie mapema sana.
Now kosa hili lisijirudie tena.
Pia wakati huu filamu zetu zinapaswa kutumia waigizaji wasomi kutoka katika vyuo vyetu.
Hiki ndo kimeibeba HOLLYWOOD. WAIGIZAJI WENGI NI WASOMI WANA ELIMU YA WANACHOKIIGIZA.
Sababu ya kujihusisha na siasa pia iliua bongo movie.
Hili niliweke wazi kabisa Watanzania tulimkosea Mungu ili kutuadhibu akatuletea hili dubwana la kuitwa CCM. huwezi lishabikia ukawa na akili au ukafanikiwa unakuwa mtu wa hovyohovyo tu.
Angalia wanachofanya waigizaji wetu kipindi cha kampeni upuuzi upuuzi mtupu..na kinachopelekea hivyo ni njaa.
Now wasijichanganye tena uigizaji ni sanaa inayoimulika serikali kwa undani sana. Thats why HOLLYWOOD kuna movie zinazohusu CIA,FBI, white house.
Kwetu hapa watu wasiojulikana ilipaswa iandaliwe filamu, Sabaya the criminal, Makonda misifa. Haya matukio yalihitaji filamu.
Jeshi letu pia lilipaswa kutuonesha walichoko nacho kupitia movie na sio kubeba magogo sikukuu za uhuru.
Police waruhusu matumizi ya nguo na vituo vyao katika filamu kuweka uhalisia.
Sio kila movie "mimi ni afisa wa police kutoka kituo cha kati"🤣
Jambo la mwisho ni rushwa ya ngono.
Waigizaji wengi kipindi kile walipata nafasi kwa sababu walikuwa wanapigwa mbupu na ma producers.
HAwakuangalia ubora wao na vipawa.
Jua kali imeenda shuleBinti, jua kali,envelope .. [emoji91]
Inaoneshwa chanel gani lini na saa ngapi?Wazambia wako vizuri Mpali ni nzuri hakuna ma makeup na kuvaa kama wamarekani ina reflect maisha halisi ya watu.
Inanikumbusha siri ya mtungi.
Iko chanel gani hii na siku gani?Mwantumuuuuu....
Dstv maisha magic channel 160, nadhani jumatatu mpaka alhams saa mbili uskuInaoneshwa chanel gani lini na saa ngapi?
Za Azam bado kidogo. Filamu au Tamthilia za Bongo Movie zipo viwango zipo Dstv.Azam kawarudisha kwenye reli
Angalia Juakali iko powa.. wanaaza kujitambuaHaswa DSTV wanawa shape sana Bongo movies wanaaza ku improve...
Ila Nguzu ni mnyama aisee...Dstv wamewapa promo kwa kuwatengea channel yao.
Na mimi si mpenzi wa hizo Bongo movie ila nilipomuona Joti nikaanza kuwa muangaliaji wa tamthilia ya Mwantumu.
Ila Wazambia ndio wanakimbiza na tamthilia yao ya MPALI iliyoingizwa sauti za kiswahili.
kuna watu wanachura tuu mkubwaKuna kitu kimebadilika kuna talents mpya sio kama enzi kujazana majina tu ila zero talent
Hiyo ni kwa sababu dstv wanaweka vigezo.Za Azam bado kidogo. Filamu au Tamthilia za Bongo Movie zipo viwango zipo Dstv.