Kurejea kwa 'Bongo Muvi' kupitia tamthilia, waandaaji wamejifunza au watarudi kule kule?

SIKU HIZI WANAJITAHIDI TAHIDI SANA

ila wengine wananyimwa nafasi kutokana na wasanii au mastaa wasio waigizaji kuhamia huko kwenye tamthilia

AZAM NA DSTV wanajitahidi kupromote local content....
 
Ray ni kiazi hana elimu yeyote ya uigizaji seuze ya darasani
 
Unakuta shombe la kiarabu linaigiza scene ya huko mwitongo ndani ndani [emoji2]

Tangu lini mwarabu akaishi mwitongo nyie[emoji1787][emoji2]

Ila daaah wana mazoba yao yanapendaga sana hao makitu yao
 
Mimi ni afisa wa polisi kutoka kituo cha kati halafu mkononi ana kitambulusho cha mpiga kura πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sijasikia mnawaongelea bongo Hood, jamaa movie zao zimejaa uhalisia sana. Kwa mfano bongo movie utakuta kwenye kupigana wanatukanana mjinga weweeee, pumbavuuuu, nk.lakini Kiuhalisia mtaani utasikia msen*, kum*** nk . Tapeli.com[emoji95][emoji95]
 
Nimefurahi kuona huu uzi una nguli wa filamu wanatoa ya moyoni. Uzuri wa JF kila mtu ana sekta yake anayoijua kiasi kwamba anaweza changia kitu ukaona mantiki kabisa
 
Bongohood wale wanajua sana wale...nikimisi filamu za bongo natazama hizo movie zao..wako katika uhalisia sana.
 
Mimi ni afisa wa polisi kutoka kituo cha kati halafu mkononi ana kitambulusho cha mpiga kura πŸ˜‚πŸ˜‚
Leongo ni tufikie hapa
 
Dstv wamewapa promo kwa kuwatengea channel yao.

Na mimi si mpenzi wa hizo Bongo movie ila nilipomuona Joti nikaanza kuwa muangaliaji wa tamthilia ya Mwantumu.

Ila Wazambia ndio wanakimbiza na tamthilia yao ya MPALI iliyoingizwa sauti za kiswahili.
Hivi Mpali sio wanaija?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…