Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habarini, naomba kufahamu kwa anaerejeshwa kazini upya je anastahili sifa gani na je suala lake linaweza kushughulikiwa wastani muda gani? Swali hili liwaendee haswa wafanyakazi wa GSO Utumishi na wengine wanaofahamu.
Afuatilie nini yaani waache kuajiri watu wapya ambao wako kazini waje kuhangaika na aliyepewa kazi akaacha ???Wewe fuatilia.
[emoji16]Wewe bora walikufukuza kujieleza tu apa shida
Ww mimi kujieleza hapa tu sio shida nimejieleza vizur labda hukuelewa na sio bora walinifukuza, sikufukuzwa hata barua ya kufukuzwa sina.Wewe bora walikufukuza kujieleza tu apa shida
Sasa ulikuwaje hadi sasa uombe kurudishiwa ajira?Ww mimi kujieleza hapa tu sio shida nimejieleza vizur labda hukuelewa na sio bora walinifukuza, sikufukuzwa hata barua ya kufukuzwa sina.
Sasa ulikuwaje hadi sasa uombe kurudishiwa ajira?
Kama wanazingua ingia kwenye siasa na uchawa😁😁 utarudishwa chapu kwenye utumishi kupitia siasa.Habarini, naomba kufahamu kwa anaerejeshwa kazini upya je anastahili sifa gani na je suala lake linaweza kushughulikiwa wastani muda gani? Swali hili liwaendee haswa wafanyakazi wa GSO Utumishi na wengine wanaofahamu.
Poa nashukuru kwa ushauri wako.Kama wanazingua ingia kwenye siasa na uchawa😁😁 utarudishwa chapu kwenye utumishi kupitia siasa.